Baada ya kufunga solar power kijijini kwangu vitimbwi vimeanza

kubwa jinga jr

JF-Expert Member
Mar 19, 2017
292
309
wadau amani kwenu

jana niliamka mapema asubuhi nikaamua kufanya usafi kuzuunguka nyumba yangu kabla ya kufungua biashara yangu duka

Baada ya kufanya usafi mama watoto akaniambia chai na mihogo tayari,nikamjibu anipelekee maji ya kuoga kwanza ili nikimaliza chai nifungue biashara moja kwa moja,bas mama watoto akatekeleza yale maagizo

Nikaingia chooni nikatupa taulo yangu juu ya mlango si mnajua vyoo vyetu vya mikoani nikaamua nikate gogo kidogo,wakati nimechuchumaa ghafla nikasikia nywiiiiiii yaani kwenye pumbu ,kama mtu aliechomwa sindano kwenye pumbu maumivu yake

Nikaruka kimo cha ng'ombe mtoto nikanguuka kwa kishindo,mara wife na watoto na shemeji zangu wakanikuta
 
wadau amani kwenu

jana niliamka mapema asubuhi nikaamua kufanya usafi kuzuunguka nyumba yangu kabla ya kufungua biashara yangu duka

Baada ya kufanya usafi mama watoto akaniambia chai na mihogo tayari,nikamjibu anipelekee maji ya kuoga kwanza ili nikimaliza chai nifungue biashara moja kwa moja,bas mama watoto akatekeleza yale maagizo

Nikaingia chooni nikatupa taulo yangu juu ya mlango si mnajua vyoo vyetu vya mikoani nikaamua nikate gogo kidogo,wakati nimechuchumaa ghafla nikasikia nywiiiiiii yaani kwenye pumbu ,kama mtu aliechomwa sindano kwenye pumbu maumivu yake

Nikaruka kimo cha ng'ombe mtoto nikanguuka kwa kishindo,mara wife na watoto na shemeji zangu wakanikuta
Mkuu hujaamka tu kutoka huko chooni, au umekuwa mende?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom