Baada ya kufumania jamaa aliwa 0713 mbele ya mkewe:

bluecolour

JF-Expert Member
May 20, 2013
201
98
Habari Wakuu. Nawaletea Mkasa Ulimpata Jirani Yangu.. Mkasa Ulikuwa Hivi Hapa Kitaa T/Reli Mwz Jamaa Kaoa Miaka 5 Iliyopita.. Jamaa Ni Chinga Wa Nguo Muda Sasa Ametonywa Mkewe Anagawa Tunda Kwa Bosi Wa Kiwanda X.. Jamaa Akaanza Upelelezi Kwa Siri Bila Mkewe Kujua Na Akabaini Pasi Na Shaka Mkewe Anagawa Tunda Kwa Bosi Huyo. Kwa Hasira Ya Kuliwa Wife Jamaa Akatafuta Vijana Kuaandaa Fumanizi, Za Mwizi 39 Ya 40 Ilipotimu Fumanizi Lilikubali Baada Ya Mtego Mkali Katika Guest Bubu 1 Mitaa Ya Mkuyuni.. Jamaa Na Jeshi Lake Baada Ya Kuvamia Waliwakuta Wagoni Wakiwa Kama Walivyozaliwa Na Jamaa Akiwa Kifuani Kwa Mke Wa Mshkaji, Wakawapika Hands Up Bahati Mbaya Kwa Mfumania Bila Ya Kujua 1 Kat Ya Wale Vijana Ni Mjomba Wa Bosi Wengne Ni Wafanyakazi Kiwandani Kwa Bosi. Zoezi La Kumla Bos tiGO Likawa Gumu. Bos Aka2mia Chance Hiyo Kujihami Akatangaza Dau Kubwa Kwa Vijana Jamaa Aliwe 0713 Na Jamaa Akavuliwa Chp Wa2 Wakala 0713 Mbele Ya Wife. Jamaa Alipiga Kelele Bila Msada & Bosi Akasepa. Jamaa Anahama Kitaa Muda Huu.. AIBU.
 
Storii zagengenii izii na mi bangee ishaa wakishaa sanaa umoo kaah?
Maisha yataendaa kelii??
 
so?

what do you want?

advice.jpg
 
hivi mwamme na akili zako ukubali kumla mwanamme mwenzio tigo?mmh,vijana wengine hawajifikirii
 
Ndio gharama za kujichukulia sheria mkononi. Angefuata sheria si bosi angemuongezea mtaji wa biashara yake?
 
Kwa kawaida mtu akifumaniwa hawezi kupata ujasiri wa kujadiliana na waliomfumania zaidi ya kutafuta njia ya kujinusuru.....
 
Back
Top Bottom