NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 998
Hii ndo tafsiri ya CHADEMA kuwekeza katika maendeleo ya watu na sio Vitu:-
1. Kuuza ndege zote zilizonunuliwa na Magufuli.
2. Kusitisha Ujenzi wa Mradi wa SGR
3. Kusitisha Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Rufiji
4. Kuruhusu Uvuvi haramu.
5. Kuruhusu Uchungaji wa Mifugo kwenye hifadhi.
6. Kusitisha Ujenzi wa Madaraja, meli na Vivuko
7. Kusitisha Ujenzi wa Hospital, Zahanati, Shule nk
8. Kutaifisha Mali za CCM Kama Majengo, viwanja na mashamba
9. Kuacha kukusanya kodi.
10. Kuwatoa magerezani Wahalifu wote wa makosa mbalimbali.
11. Kujifunza Kingereza
1. Kuuza ndege zote zilizonunuliwa na Magufuli.
2. Kusitisha Ujenzi wa Mradi wa SGR
3. Kusitisha Ujenzi wa Mradi wa Umeme wa Rufiji
4. Kuruhusu Uvuvi haramu.
5. Kuruhusu Uchungaji wa Mifugo kwenye hifadhi.
6. Kusitisha Ujenzi wa Madaraja, meli na Vivuko
7. Kusitisha Ujenzi wa Hospital, Zahanati, Shule nk
8. Kutaifisha Mali za CCM Kama Majengo, viwanja na mashamba
9. Kuacha kukusanya kodi.
10. Kuwatoa magerezani Wahalifu wote wa makosa mbalimbali.
11. Kujifunza Kingereza