Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Kafanyiwa LEEP lakini Sasa alipoingia hedhi damu inatoka nyingi na siku zinapita tu hedhi haikomi.
Leo anaenda tena Kwa Daktari wake,je humu kuna wajuzi wa chochote kuhusu hii condition iliyojitokeza. Kwa wale wenye experience na hii Operesheni hii condition ni normal au lah?
Leo anaenda tena Kwa Daktari wake,je humu kuna wajuzi wa chochote kuhusu hii condition iliyojitokeza. Kwa wale wenye experience na hii Operesheni hii condition ni normal au lah?