KIGWANYA
Member
- Apr 14, 2016
- 81
- 103
Wadau habari.
Baada ya Prof. Kuthibiti ofisi ya CUF kilichobaki sasa nikuithibiti ruzuku ya chama hicho ili ajihakikishie umiliki halali wa uenyekiti. Wale wanaobeza uwenyekiti wake wasubiri pale atakapokua na nguvu kamili ya kuthibiti hela za chama watataka usuluhishi wenyewe vinginevo waanzishe chama chao.
Take it from me.
Baada ya Prof. Kuthibiti ofisi ya CUF kilichobaki sasa nikuithibiti ruzuku ya chama hicho ili ajihakikishie umiliki halali wa uenyekiti. Wale wanaobeza uwenyekiti wake wasubiri pale atakapokua na nguvu kamili ya kuthibiti hela za chama watataka usuluhishi wenyewe vinginevo waanzishe chama chao.
Take it from me.