Mshambuliaji
Senior Member
- Jul 9, 2017
- 132
- 79
Nilifanyiwa upasuaji na kuchomwa sindano ya ganzi kwenye uti Wa mgongo.Baada ya mpaka mguu Wa kulia na mkono kunakuwa kama kuna kitu kinatembea kutoka mguuni mpaka begani Kwa sekunde 1 kinaacha, Pia Vega linauma na mkono kufa ganzi kushindwa kushika kalamu Je ni ugonjwa gani?Tiba yake ni nini? Naomba msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app