Anasherekea miaka 50 ya uhuru wa Burundi.Pumzika tu lkn ngoma huku bado inogile,specialists wamegoma pia na marekani inazidi kukomalia suala la meli za mafuta za iran kuwa na bendera ya Tanzania.Du kazi ni kwake!
Huo ndio Udhaifu ,ebu fikiri madaktari wamegoma ,raia wanumwa na kukosa matibabu wanakufa ,raisi anaenda burundi kusheherekea ,Duh kweli Tanzania ni nyumba isiyo na baba .Kwani ni lazima Raisi aende burundi ? Waziri wa mambo ya nje anafanya nini au makamu wa raisi naye au waziri mkuu?
Hivi tunahitaji akili ya namna gani ya kupambanua udhifu wa raisi wetu pamoja na chama chake? Lets go Doctors Lets go Tanzania saa ya mabadiliko ni sasa .Hawa viongozi wetu (CCM) ni wajinga sana eti wanasema udaktari ni kazi ya wito alafu eti wamesomeshwa na serikari .Kwani serikari inasomesha madaktari peke yao jamani mbona hata yeye Dhaifu alisoma kwa pesa ya serikali na sasa badala ya kulipa fadhira anazifuja kwa safari zake zisizo za lazima na tena wakati kama huu ambao nchi haijakaa vizuri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.