Baada ya kubinywa huko Guantanamo Ghailani sasa kujibu mashitaka

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,396
Asema,

"sikujua nini walikuwa wanafanza lakini niliwasaidia"

-Kwa mujibu wa kumbukumbu za mahojiano za Pentagon

446538e4818fc9.jpg
Ahmed Halfan Ghailani

A Guantanamo detainee who allegedly helped plan the 1998 bombing of the U.S. Embassy in Tanzania that killed 11 people was charged Monday with war crimes that carry a possible death penalty.

Ahmed Kalfan Ghailani - who was held in secret CIA custody before being transferred in 2006 to the U.S. military prison in Cuba - also allegedly purchased and transported the explosives used in the attack and scouted the embassy with a suicide bomber.

Al Qaeda's twin suicide truck-bomb attacks on the U.S. Embassies in Tanzania and Kenya on Aug. 7, 1998, killed some 236 people, including 12 Americans, and injured more than 4,000. No Americans died in the attack in Dar Es Salaam, Tanzania.

U.S. Air Force Brig. Gen. Thomas Hartmann told a Washington news conference that Ghailani, a Tanzanian, faces charges that include murder, attacking civilians and terrorism. The attack on the embassy in Tanzania was not as devastating as the one in Kenya because an embassy water tanker apparently prevented the suicide bomber from penetrating the perimeter.

Ghailani, who was captured after a gunbattle in Gujrat in eastern Pakistan in July 2004, told a military panel at Guantanamo in March 2007 that he unwittingly delivered the explosives for the attack, didn't know about it beforehand and was sorry.

"It was without my knowledge what they were doing, but I helped them," he told the panel, according to a transcript released by the Pentagon. "So I apologize to the United States government for what I did. And I'm sorry for what happened to those families who lost, who lost their friends and their beloved ones."

It was without my knowledge what they were doing, but I helped them.

Ahmed Kalfan Ghailani
according to Pentagon transcriptA senior Pentagon legal official, Susan Crawford, must review and approve the filed charges before any legal proceedings can begin against Ghailani.

The U.S. has so far filed charges against 15 prisoners at Guantanamo and convicted one, Australian David Hicks, in a March 2007 plea bargain. Several detainees have appeared before the tribunal for arraignments or pretrial hearings. The first actual trials are expected to begin in late spring or early summer.

The U.S. now holds about 275 men at Guantanamo and military officials say they expect to file war crimes charges against about 80.

bongo.jpg
Ubalozi wa Marekani Tanzania baada ya kulipuliwa kwa mabomu mwaka 1998



Chanzo cha habari: World Media
 
Osama Bin Laden's former Tanzanian HERO is coming to New York to face charges for his role in the bombings of two U.S. Embassies in East Africa 11 years ago, President Obama announced Thursday.

why calling him 'Tanzanian hero? Ooops
 
Namfananisha na Hasheem Thabeet Jinsi anavyoiwakilisha Tanzania Kuonesha Watanzanai Tunaweza tukipata Nafasi

Bikra hichi kweli ni kitu cha kushangilia? Unakosea sana kumfananisha "Fupi" na Hasheem Thabeet.....Kumuita Thabeet Hero kunaleta maana lakini sio huyu Ahmed.

Simuhukumu Ghailani hapa kwa sababu najua kesi yake imejengwa kwenye mazingira ya Utatanishi...Mimi binafsi kama Mwawado wala siamini kama kweli Ghailani alikuwa Dereva wa Osama (Mpaka leo hajui kuendesha gari..labda wawe wamemfundisha huko Gitmo),nimesoma na kuangalia mazingira yote ya kushikwa kwa Ghailani inanipa wasiwasi kama ni kweli anahusika na Al-qaeda. Ahmed (ana majina karibu ya 30) alikuwa mjeuri alipokamatwa huko Pakistani na hakuweza kujieleza vizuri (Hajui kiingereza sawa sawa) hivyo vyote pamoja na kuwa na passport zaidi ya mbili ndivyo vilivyochangia kumuhusisha na Mabomu ya Tanzania/Kenya kwani aliondoka Nairobi siku moja kabla ya milipuko ile!!

Mimi Binafsi nachukulia kuwa Ahmed ilikuwa bahati yake mbaya tu..kwani hapo Karachi kuna watanzania wengi tu,na wengi wana passport zaidi ya moja na majina Kibao..sasa hao wote tuwaite Alqaeda?

Nathibitisha hapa kwamba kama serikali yetu (Tanzania) ingesimama imara na kuwa upande wa Ahmed,huyu jamaa hakuwa na case ya kujibu...imekwishatokea hivyo kwa Raia mmoja wa Uk ambaye ana asili ya Pakistan,alikamatwa Queta na kupelekwa Guantanamo lakini wazazi/Ndugu zake walipiga kelele mpaka wakaonana na Tony Blair na matokeo yake ndugu yao akaachiwa..

Tafuta muda uangalie/soma suala zima la Ghailani utabaini Walakini katika kushikwa kwake...Hata hivyo usinichukulie kwamba namtetea Ahmed,nilikuwa nataka kukufahamisha tu ..nini ninafahamu kuhusu Jamaa huyo!
 
Namfananisha na Hasheem Thabeet Jinsi anavyoiwakilisha Tanzania Kuonesha Watanzanai Tunaweza tukipata Nafasi

Hivi huyu jamaa kweli ni hero kihivyo. Huyu atakuwa alirubuniwa akubali tu watamwachia.
 
Hiyo ni kweli kabisa kwani neno lenyewe terror lina utata hasa kwakuwa hayana fasili inayojitosheleza umwitaye terror weye ndo hero wa mwingine, mandela,machelna lumumba walishaitwa terrorist na wanyonyaji wa kizungu japo ktk jamii yao walionekana heroes! Nafikiri 2we 2natafakari kabla ya kuita au ku2mia maneno hayo eti kwakuwa kasema fulani, mie mtanzania namwona ghailani ni hero na wao wamarekani wamwona ye ni terror je weye wamwonaje?
 
Nadhani hadi sasa hatuna haja ya kumuhukumu no matter what facts were gathered by the American against him. Mi nadhani, hata kama osama ni Gaidi, ugaidi ni sawa na njia nyingine kama kuandamana ili mtu apate haki yake. ni njia nyingine tu ya kulazimisha kupata haki unayostahili. Ni kweli, najua inapoteza maisha ya watu wenye hatia na wasio na hatia, lkn hata vita alizozianzisha mmarekani zimepoteza maisha ya wengi wasio na hatia. Anayoyafanya mmarekani kwa watu wengi hapa duniani ni mabaya kuzidi hata hayo ya osama.

Gilaini, anastahili heshima zote ikiwepo ya kuitwa THE HERO
 
Nadhani hadi sasa hatuna haja ya kumuhukumu no matter what facts were gathered by the American against him.

Sikumbuki kusoma humu jamvini kama kuna mtu amemhukumu. Ukweli ni kuwa kama hana hatia, kilio cha samaki machozi ndio hivyo yanaenda na maji. Hamna wa kumnasua mpaka waamerika wenyewe wajisikie kumuachia. Kwa upande wa pili kama ana hatia, ni adui si tu wa Marekani, bali wa sote including mama yake mzazi.

Mi nadhani, hata kama osama ni Gaidi, ugaidi ni sawa na njia nyingine kama kuandamana ili mtu apate haki yake. ni njia nyingine tu ya kulazimisha kupata haki unayostahili. Ni kweli, najua inapoteza maisha ya watu wenye hatia na wasio na hatia, lkn hata vita alizozianzisha mmarekani zimepoteza maisha ya wengi wasio na hatia. Anayoyafanya mmarekani kwa watu wengi hapa duniani ni mabaya kuzidi hata hayo ya osama.

Gilaini, anastahili heshima zote ikiwepo ya kuitwa THE HERO

Watu wenye mawazo kama yako ni hatari kuliko hata Osama mwenyewe. Ugaidi hauwezi kukubalika ktk jamii za wastaarabu ktk dunia ya leo, hata uje kwa sura au sababu iwayo yote ile.
 
capt.dde91c0e56bb48f7a809c9790045610a.guantanamo_detainee_ny109.jpg

WASHINGTON – U.S. authorities have brought the first Guantanamo Bay detainee to the United States, flying him into New York to face trial for bombing U.S. embassies, the Justice Dept said Tuesday.

The department said Ahmed Ghailani arrived in the early morning hours Tuesday, to be held in U.S. law enforcement custody until his trial in federal court in lower Manhattan. Ghailani was expected to make his initial appearance in Manhattan federal court later Tuesday.

"With his appearance in federal court today, Ahmed Ghailani is being held accountable for his alleged role in the bombing of U.S. Embassies in Tanzania and Kenya and the murder of 224 people," Attorney General Eric Holder said in a press release. "The Justice Department has a long history of securely detaining and successfully prosecuting terror suspects through the criminal justice system, and we will bring that experience to bear in seeking justice in this case."

Ghailani's trial will be an important test case for the Obama administration's plan to close the detention center at Guantanamo in seven months and bring some of the suspects to trial.
Ghailani was indicted in 1998 for the al-Qaida bombings of U.S. embassies in Kenya and Tanzania, attacks which killed more than 224 people, including 12 Americans.

U.S. officials charge Ghailani began his terrorist career on a bicycle delivering bomb parts and rose through the al-Qaida ranks to become a bodyguard to Osama bin Laden.

Ghailani, a Tanzanian, was in his twenties when prosecutors say he helped terrorists build one of the bombs that destroyed U.S. embassies in East Africa in 1998.

He left Africa just before the bombings, according to investigators.
After the Aug. 7, 1998, bombings at U.S. embassies in Nairobi and Dar es Salaam, Tanzania, Ghailani worked for al-Qaida as a document forger, trainer at a terror camp and bodyguard to bin Laden, according to military prosecutors.

He was categorized as a high-value detainee by U.S. authorities after he was captured in Pakistan in 2004 and was transferred to the detention center at the U.S. naval base in Cuba two years later.

Since his capture, Ghailani has denied knowing the TNT and oxygen tanks he delivered would be used to make a bomb. He also denied buying a vehicle used in one of the attacks, saying he could not drive.

Now, the Obama administration is trying to put him into the U.S. criminal justice system, despite claims by Republican critics that doing so would endanger American lives. Some lawmakers have opposed bringing any Guantanamo detainees to the U.S. for trial, even in heavily guarded settings.

Last month, President Barack Obama said that preventing Ghailani from coming to U.S. soil "would prevent his trial and conviction. And after over a decade, it is time to finally see that justice is served, and that is what we intend to do."

Relatives of those killed in the embassy attacks have supported the decision to bring Ghailani to the U.S. for trial. Many of those relatives say that since the 2001 terror attacks , the earlier victims of al-Qaida have been forgotten.

Yet the president faces pressure from across the political spectrum on his plan to close the detention center. Democrats have said they want to see the president's plan for closing the base before approving money to finance it, and Republicans are fighting to keep Guantanamo open.

The decision to try Ghailani in New York also revives a long-dormant case charging bin Laden and top al-Qaida leadership with plotting the embassy attacks that killed more than 200 people and injured thousands, including many who were blinded by shards of flying glass. The attacks prompted then-President Bill Clinton to launch cruise missile attacks two weeks later on bin Laden's Afghan camps.

Four other men have been tried and convicted in the New York courthouse for their roles in the embassy attacks. All were sentenced to life in prison.

Justice Dept.: 1st Gitmo detainee arrives in US - Yahoo! News
 
Let us see how things will unfold here.. Kama maelezo wanayotoa US kumuhusu kuwa alipanda ranks mpaka kuwa trainer na bodyguard wa Osama ina maana kijana amekubuhu.
 
Let us see how things will unfold here.. Kama maelezo wanayotoa US kumuhusu kuwa alipanda ranks mpaka kuwa trainer na bodyguard wa Osama ina maana kijana amekubuhu.

Usikute alikubali haya maelezo baada ya kuwa convinced na "water boarding" au kukoseshwa usingizi, don't trust those republicans.
 
Yaani asirudishwe hapa ardhi ya Tz. Jamiii ya watu hawa huwa wana kisasi sana na kwa kuwa walishafundishwa kuwa ni heri kujitoa mhanga kwa ajli ya imani basi akiachiwa tu ni lazima atapanga revenge la nguvu. Wanyongee au kufunga maisha hukohuko U.S!! Hafai huyo.
 
He left Africa just before the bombings, according to investigators.
After the Aug. 7, 1998, bombings at U.S. embassies in Nairobi and Dar es Salaam, Tanzania, Ghailani worked for al-Qaida as a document forger, trainer at a terror camp and bodyguard to bin Laden, according to military prosecutors.
Nemeshawambia huyu kijana alikuwa muuza Unga tu....Tatizo he was at the wrong place at the wrong time..Hawezi kuwa mtu alopanga kulipua Ubalozi wa Marekani kisha ati kaondoka kabla ya...at the age of 20 nani Bongo atamsikiliza..kwa hivyo wanavyodai na navyowajua Watanzania...Haiwezekani..
Kisha kikubwa zaidi wapo wanaomfahamu vizuri vijiwe vya Pakistan kuwa kazi yake ilikuwa kuuza unga kwa Makontena yaliyokuwa yakitumwa huko....
 
Nemeshawambia huyu kijana alikuwa muuza Unga tu....Tatizo he was at the wrong place at the wrong time..Hawezi kuwa mtu alopanga kulipua Ubalozi wa Marekani kisha ati kaondoka kabla ya...at the age of 20 nani Bongo atamsikiliza..kwa hivyo wanavyodai na navyowajua Watanzania...Haiwezekani..
Kisha kikubwa zaidi wapo wanaomfahamu vizuri vijiwe vya Pakistan kuwa kazi yake ilikuwa kuuza unga kwa Makontena yaliyokuwa yakitumwa huko....

Bob kumbuka pia kuwa
1.Al Qaida....wanafanya hiyo biashara i.e. unga
2.usidanganyike na umri wa mtu.......au na watu wanaokupa story
 
hivi ile sheria ya ugaidi tuliyoipitisha ina maana gani kama bado watuhumiwa watanzania wanashtakiwa nje? au lilikuwa ni shinikizo...
 
hivi ile sheria ya ugaidi tuliyoipitisha ina maana gani kama bado watuhumiwa watanzania wanashtakiwa nje? au lilikuwa ni shinikizo...

Mkuu na mimi ndo swala najiuliza kila mara.

Kama alivyosema Mkandara, hata mimi naweza kuamini kwamba huyu dogo alikuwa at the wrong place doing wrong thing-probably, kama kuuza unga. Jamani sasa huko Pakistan alikuwa nafanya nini? I dont see a reason kwa nini mbongo ajiingize kwenye issues za ugaidi..maana matatizo tuliyonayo yanatutosha kuliko ugaidi na wala sidhani kama yanaletwa/yaliletwa na Bush wala cousins wake. I wouldnt see any reason ya mbongo..kujiingiza kwenye issues kama hizi ambazo hazina tija kwetu..

Anyway..mahakama itaamua. I believe he is more likely to get fair justice huko umangani kuliko akirudishwa Kisutu. Na obviously, jela za umangani ni bora kuliko Keko.

Kila lakheri dogo, kama huna hatia..utaachiliwa tuu.
 
Bob kumbuka pia kuwa
1.Al Qaida....wanafanya hiyo biashara i.e. unga
2.usidanganyike na umri wa mtu.......au na watu wanaokupa story

Mkuu hiyo kweli, maana huwa wanapenda sana kuwatumia vijana wadogo kwani uwezo wao wakufikiri unakuwa bado mdogo, wanawa jaza mambo kibao! vijana wanaamini wanaanza kutekeleza UGAIDI!
 
Ogah,
Mkuu nani kakwambia Al Quada wanauza Unga?.. kumbe na wewe umeuvaa mkenge wa Bush mkuu wangu...usiwasikilize Marekani mkuu hasa utawala wa Buish kila kitu kilitungwa..
Maburushi (kabila) Unga ndio kilimo chao kikubwa cha biashara kama vile Mchagga na kahawa..Alqaida sii wafanya biashara wala wenyeji wa sehemu hiyo na hata siku moja Taliban sii Alqaida..Na Taliban wote sii Ma Terrorust au wapiganaji kama wanavyotaka tuamini..Ni sawa na vita ya Ufisadi tuanze kutangaziwa kwamba wana CCM wote ni Mafisadi...Kweli maneno haya mkuu?
Taliban ni chama kilichokuwa kikiongoza kama vile Hamas.. na wafuasi wake wote waliitwa Taliban na sii kweli Taliban wote ni Alqaida, wala Maburushi wote kuwa ni Taliban au Alqaida.

Hata ndani ya Afghanstan na Pakistan, hao Alqaida walikuwa wakijenga hema zao milimani nje kabisa ya sehemu zinazolima au kuuza unga..Hawa ni magaidi, Biashara ya unga ni kikwazo kwao wasingeweza kupenyeza sehemu au kuingia nchi wanazotaka kuzishambulia..Jamani tumieni common sense kwa mambo mengine..

Hizi ni propaganda za Marekani na uwezo wa kudanganya dunia wanao sana tu... kumbuka ya WMD nani hakuamini kwamba Saadam hakuwa nazo.. nani?..haya nani hakuamini kuwa Saadam alikuwa na jeshi kubwa kuliko hata Germany!..kama walivyokuwa wakituonyesha ktk TV!.. lakini siku ya siku ilipofika hatukusikia hata Scad moja, wala zile ndege za kivita 300, vifaru 100,000 na wanajeshi millioni moja na kadhalika...Uongo mtupu... Walipoingia walifagia kama vile wanapitisha tingatinga...na dunai tukawa nyuma yao tukasema kosa ni kuivamia Kuwait!..

Sidhani kama auliwahi kuona picha za mauaji ya Iraq wakati wa Bush wa kwanza..
Marekani inajua vizuri kuwa duniani wengi wetu sisi ni mambumbumbu, kila wanachotu feed kwa kijiko (TV na media zao) ndicho tunachoamini kuwa chakula bora cha ubongo.. media mkuu wangu media ni silaha kubwa sana.. Alqaida ni ma Terrorist hawalimi Unga waka hawana muda wa biashara za unga ila hujiingiza ktk elimu za Ugaidi. wauza Unga wakubwa ni wananchi wa AfghanStan na pakistan ambao leo hii wanalima bila kuzuiwa....

Sasa nikuchekeshe mkuu.. Siku zote nyuma tumeambiwa kwamba Taliban ndio walikuwa wakilima Bwimbwi na kulisambaza.. Ajabu ni kwamba sasa hivi inalimwa kuliko wakati wowote na wananchi wanasema kikwazo kikubwa kwao ni Taliban ambao huja na kuwaua kama wanawa support Wamarekani!.. hivyo basi ukweli ni upi hapa? Marekani inaachia wananchi walime Unga ili kupata support yao lakini sisi tunatangaziowa kuwa Taliban ndio wanalima Bwibwi - wasiseme wananchi kwa kabila lao la Uburushi, kisha basi ktk Luninga utana wanajeshi wa Kimarekani wakitatiza ktk mashamba ya unga huo huo unaodaiwa kuwa ni wa Mataliban..I mean mkuiu kweli wunaweza karttiza ktk shamba la Taliban ambaye ni adui yako..
Mkuu, Americans waongo kupindukia hasa utawala wa Bush haijawahi kutokea..Na ndio maana Obama kawashtukia.. Inasemekana ni idadi ndogo sana ya watu walioshikwa Guatanamoo ndio kweli Magaidi na wanajulikana..
 
Back
Top Bottom