manuel24
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 222
- 52
Kama mnataka mali mtayapata shambani
tupo pamoja mkuu
Kama mnataka mali mtayapata shambani
Naomba nithibitishe kuwa taarifa ya mm kushindwa project siyo ya kweli. Siamini katika kushindwa. Wala muhusika hajawahi kunitembelea.
Naomba nithibitishe kuwa taarifa ya mm kushindwa project siyo ya kweli. Siamini katika kushindwa. Wala muhusika hajawahi kunitembelea.
Thank you for your concern. Sijafulia. Siamini katika kushindwa. Project iko sawa. Hata hivyo kwa sasa ninaendelea na project yangu ya shule tunayotarajia tutaifungua punde. Ninatumia muda meingi sana kufikiria ndiyo maana naamini katika mafanikio. Mawazo yangu juu ya ujasiriliamali kwa sasa ni ya juu sana. Nitawarushia picha.mkuu tueleze hadi sasa project yako inaendelea vipi?? hata kama umefulia unaweza simama tena kwani wakale walisema "barabara ndefu, haikosi kona" hivyo ili iyafikie mafanikio ya kweli lazima kuwa na kushindwa , lakini inakupasa kusimama na kuendelea na safiri....kuna muda mwingine barabara inakuwa na kona kana kwamba inarudi/inaelekea unakotoka, lakini kumbe ndo inaelekea unako kwenda..hivyo usikate tamaa ita tambua unako kwenda,....
tupe changamoto hadi sasa ambazo umekutana nazo katika safari yako nasi tupate kujifunza na si kukata tamaa..niko morogoro jirani na eneo lako huko maji chumvi pande za makunganya hapa.
Thank you for your concern. Sijafulia. Siamini katika kushindwa. Project iko sawa. Hata hivyo kwa sasa ninaendelea na project yangu ya shule tunayotarajia tutaifungua punde. Ninatumia muda meingi sana kufikiria ndiyo maana naamini katika mafanikio. Mawazo yangu juu ya ujasiriliamali kwa sasa ni ya juu sana. Nitawarushia picha.
kaka tafuta wazo. Jipime kama unaweza kulifanya. Angalia nazingira. Fikiria namna utakavyopata pesa. Omba Mungu tena omba tena. Uwe tayarihata kufanya Kazi ya kupiga kiwi. Anza taratibu. Anza project ambayo mtaji wake unaweza kuutafuta. Katika kuanzisha biashara/shughuli ya kujiongezea kipato hakuna kitu kikubwa na kigumu kama kutafuta wazo. Hapa panahitaji utulivu. Wengi wanafanya copy and paste which it too wrong. Be creative brother. Toka kivyako. Fany? ahort twrm and long term impact analysis for your project. Be a greater thinker. Think positive. Avoid negative thinkers. Waache watu wakuige maana hawataweza kufikia level yako na hats wakifikia wewe utakuwa umeshaondoka huko. Kama unashindwa kuunganisha mawazo yako come and see me. Nitakuchaji kidogo kama gharama ya kuusumbua ubongo wangu.mtaji pia n tatizo wakuu,,,
Mpoooooo
Kaka nitumie namba yako,kuna msaada wako nauhitaji.Usijali mkuu. Nitakupm ili tuwasiliame. Tena kwa yeyote atayetaka mitiki nitamuunganishia miche Kwa sh 300 Kwa mche. Kipindi kipindi Cha kupanda mitiki ni kipindi Cha mvua.
Mpoooooo
Mpoooooo