JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,017
Wazo zuri mkuu,Mungu akusimamie utimize ndoto yako.
..huyu ndugu yetu Mohamed Mtoi alifariki kwa ajali ya gari wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2015.
..alikuwa anagombea kwa tiketi ya chadema nadhani jimbo la Lushoto mkoani Tanga.
..Mohamed alikuwa mwanachama muungwana sana hapa JF.
..Tuzidi kumuombea DUA njema.