Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,104
- 53,341
Naangalia blood diamond kwa mara nyingine tena.
Najikuta na maswali mengi kuhusu mustakabali wa bara la Afrika.
Hivi kuna nchi watu wanaishi maisha haya? Kuuana na kuchinjana kama kuku? Nchi kushindwa kujitawala hadi makundi ya waasi wanashika sehemu kubwa ya nchi.
Wapi Afrika tumekosea? Tunashindwa kuzitumia hizo 'resources' kuleta maendeleo? Badala zinakuwa ni laana.
Wananchi wa kawaida hata siku moja sidhani kama wanatamani kama hizi resources kuwepo kwenye nchi zao. Zisingekuwepo wangishi kwa amani.
Hatukuwahi kustahili kuwa na hizo 'resources'.
Najikuta na maswali mengi kuhusu mustakabali wa bara la Afrika.
Hivi kuna nchi watu wanaishi maisha haya? Kuuana na kuchinjana kama kuku? Nchi kushindwa kujitawala hadi makundi ya waasi wanashika sehemu kubwa ya nchi.
Wapi Afrika tumekosea? Tunashindwa kuzitumia hizo 'resources' kuleta maendeleo? Badala zinakuwa ni laana.
Wananchi wa kawaida hata siku moja sidhani kama wanatamani kama hizi resources kuwepo kwenye nchi zao. Zisingekuwepo wangishi kwa amani.
Hatukuwahi kustahili kuwa na hizo 'resources'.