Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,608
Huyu viwango vyake ni kucheza kombolelaulivyo elezea tu huu uzi.
inajulikana una level gan ya maisha, elim yako pia, ushiriki wako katika mambo ya kijamii.
Huyu viwango vyake ni kucheza kombolelaulivyo elezea tu huu uzi.
inajulikana una level gan ya maisha, elim yako pia, ushiriki wako katika mambo ya kijamii.
Usilopenda kutendewa basi usimfanyie mwenzio itafika kipindi mleta uzi nae ataoa naye atatendewa kama alivyotenda, kula mke wa mtu mbaya sanaNiwe na wivu kwa sababu we unakula mke wa mtu, we jamaa hujielewi kabisa kumbe, kula dem wa mtu lakin usile mke wa mtu ambae yuko kweny ndoa yake alaf unakuja huku kujisifia upumbavu, madem kibao mtaan wako single, mke wa mtu muheshim sana itakigharim siku moja
naoana na wwe unaenda mbeya kula shemejiKiuchumi upo vipi bro! Au unarukia tu vitu vya watu?!!! Kipato kipo cha kueleweka!? Ndinga! Mjengo/mijengo,! Deals za pesa ndefu zipo?!
Au ni "hand to mouth" tu mwaka mzima!!!
Ikitokea wote wawili waka "shiba", uwezo wa kulea upo,au ndio utamuachia mwenyemke alee,?unauwezo wa kulipa fee millioni 2,standard one!!
Kuna jamaa alikuwa anakula shemeji yangu,Mdada nimemtoa kijijini,nikampiga sopu sopu, mifisi ikaanza kumendea,kila siku jamaa linamrudisha na boda boda,akiwa anatoka shule,.
Jamaa likaanza kuleta dharau kwangu,Shem alipomaliza shule,nikamtafutia kazi Mbeya,nikampa somo,aachane na walugaluga wasio na kitu,sasa HV,mtoto kanawili,anataka nikamtembelee huko Mbeya!
Lile jamaa la kitaa halina amani kabisa,
Tafuta hela,acha kula vya watu,utaliwa na wewe!!
Ujinga upi, maana hapo kuna mamboSifanyi ujinga huooo
Kosa langu ni lipi hapo? Kula mke wa mtu? Mfalme Daudi alikula mke wa mtu miaka sembuse mimi miaka 3 tu?Mimi nimewahi kufanya ujinga ila naona ww umenizidi mbali sana kiasi cha kusema ww siyo mjinga tena bali ni mpumbavu, maana mjinga huwa kidogo ana unafuu akishauriwa anaweza kushaurika ila mpumbavu huwa habadiliki sasa ndo ww hapo 🙂🙂🙂 kwenye hili siku sapoti kabisa, unakula mke wa mwanaume mwenzio for more than 3 years alafu unajisifia kama vile umefany jambo la maana sana kumbe utopolo tu, tena unaenda mbali kabisa unadiriki kusema kuwa " wanawake kama hawa ufalme wa mbinguni uliandaliwa kwa ajili yao na walishasamehewa dhambi zao tiar " ivi akili zako ziko sawa sawa kweli we jamaa... shame on you 😕😕😕
Kufuru iko wapi hapo?Aisee umekufuru kweli, kama unafanya masihara una haja ya kukufuru Mungu!
Kufuru iko wapi hapo?
Hapo namba 5 tu ndio siwezi fanya...ila mengine mungu tu ndio ajuayeUjinga upi, maana hapo kuna mambo
1. Huwezi kuwa jamaa anayetembea na mtu na mdogo ake
2. Huwezi kuwa mke/mume wa mtu na ukachepuka
3. Huwezi chepuka na mke/mume wa mtu
4. Huwezi mpa mdogo wako kwa mtu mwingine uliyetembea nae
5. Huwezi pelekwa kama zawadi kwa mwanaume/mwanamke aliyetembea na nduguyo
Mkuu, hufanyi nn kati ya haya??
Kwa hiyo umuiga Daudi, ww akili zak n mgando xana, shame on you😏😏😏Kosa langu ni lipi hapo? Kula mke wa mtu? Mfalme Daudi alikula mke wa mtu miaka sembuse mimi miaka 3 tu?