Tranquility State
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 121
- 96
Habari za muda huu ndugu zangu.
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam ila nilikuwa na wazo la kufanya biashara ndani ya wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani.
Kwa kifupi ni kwamba leo 26/03/2018 pale TRA Kisarawe nimeambiwa lazima nilipe kodi kwanza ndio nifungue biashara.
Makadirio ya kodi ya chini nimeambiwa ni Tsh150,000.
Hio kodi eti natakiwa kulipia kuanzia mwezi wa kwanza(01/01/2018) hata kama nilikuwa sijaanza biashara lakini ni sheria kulipa mwaka mzima na kabla ya kuanza biashara.
Kutokana na hali hii nimeamua kutafuta namna ya kufanya biashara yoyote ambayo nitakuwa nakwepa kodi ili niweze kuepukana na unyonyaji nilioambiwa leo pale TRA Kisarawe.
Naomba tushauriane namna ya kukwepa kodi pia biashara gani inafaa kuweza kukwepa kabisa kodi maana naona mfumo uliopo ni lazima ukwepe kodi ili uweze kufanikiwa kiuchumi.
Vijana mjiajiri ila tambua hata kama huna mtaji unatakiwa kulipa kodi kwanza sio kutoka kwenye faida.
Hii ndio Tanzania ya viwanda.
Mwisho tupeane mbinu za kukwepa kodi.
Mtaji nilionao ni siri yangu.
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam ila nilikuwa na wazo la kufanya biashara ndani ya wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani.
Kwa kifupi ni kwamba leo 26/03/2018 pale TRA Kisarawe nimeambiwa lazima nilipe kodi kwanza ndio nifungue biashara.
Makadirio ya kodi ya chini nimeambiwa ni Tsh150,000.
Hio kodi eti natakiwa kulipia kuanzia mwezi wa kwanza(01/01/2018) hata kama nilikuwa sijaanza biashara lakini ni sheria kulipa mwaka mzima na kabla ya kuanza biashara.
Kutokana na hali hii nimeamua kutafuta namna ya kufanya biashara yoyote ambayo nitakuwa nakwepa kodi ili niweze kuepukana na unyonyaji nilioambiwa leo pale TRA Kisarawe.
Naomba tushauriane namna ya kukwepa kodi pia biashara gani inafaa kuweza kukwepa kabisa kodi maana naona mfumo uliopo ni lazima ukwepe kodi ili uweze kufanikiwa kiuchumi.
Vijana mjiajiri ila tambua hata kama huna mtaji unatakiwa kulipa kodi kwanza sio kutoka kwenye faida.
Hii ndio Tanzania ya viwanda.
Mwisho tupeane mbinu za kukwepa kodi.
Mtaji nilionao ni siri yangu.