Baada ya kuagiza bidhaa kwa kutumia Alibaba, Kodi na gharama za usafirishaji zipoje?

baiser

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
1,456
2,179
Nataka niagize bidhaa china kuna mtu alinigusia Kua naweza agiza kwa kutumia hawa alibaba nimedownload app yao nakupitia pitia bidhaa ninazotaka nimeona bei ni rafiki kabsaa

Ila kitu ambacho sikijui ni kuhusu kodi ya hizo bidhaa baada ya kuagizaa zinakuwaje na pia gharama ya kusafirisha mzigo inakuwaje maana kiufupi sijajua inakuwaje mwenye uelewaa anipe somo nijitosee huko taratibu taratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta supplier ambaye unataka kununua huo mzigo. Angalia pia wawe verified na alibaba. Gharama Mara nyingi inategemeana na uzito wa kitu. Kama huna agent wa kukusafirishia mizigo, wao supplier watakutafutia, ila wanatumia DHL Mara nyingi inafikia 12$/kg hiyo including ushuru wa huku Tanzania. Pia hakikisha unawalipa kwa kutumia trade assuarance ambayo alibaba wanatoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta supplier ambaye unataka kununua huo mzigo. Angalia pia wawe verified na alibaba. Gharama Mara nyingi inategemeana na uzito wa kitu. Kama huna agent wa kukusafirishia mizigo, wao supplier watakutafutia, ila wanatumia DHL Mara nyingi inafikia 12$/kg hiyo including ushuru wa huku Tanzania. Pia hakikisha unawalipa kwa kutumia trade assuarance ambayo alibaba wanatoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawaa ilaa nawaza naskia unaweza nunua kitu kodi ikawa kubwaa kuliko bei ya bidhaaa na pia nawezaje kujua kodi halisi ya kila kitu nataka.kununua mpaka kinanifikiaa?lengo ni.kufanya analysis ya soko la Huko na kuagizaa lengo likiwa kupata faida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawaa ilaa nawaza naskia unaweza nunua kitu kodi ikawa kubwaa kuliko bei ya bidhaaa na pia nawezaje kujua kodi halisi ya kila kitu nataka.kununua mpaka kinanifikiaa?lengo ni.kufanya analysis ya soko la Huko na kuagizaa lengo likiwa kupata faida

Sent using Jamii Forums mobile app
Bei wanazoweka alibaba zinakuwa sio bei kamili, ukiwaulizia watakwambia bei halisi, pia hiyo shipping fee yao wanajumlisha pamoja na kodi, wewe unaenda kuchukua tu mzigo wako. Alibaba mara nyingi wanauza jumla jumla, kama unataka vitu vikubwa ( mzigo mkubwa)unaweza kununua Alibaba, lakini kama unataka mizigo midogo midogo ili na wewe uuze nakushauri Aliexpress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei wanazoweka alibaba zinakuwa sio bei kamili, ukiwaulizia watakwambia bei halisi, pia hiyo shipping fee yao wanajumlisha pamoja na kodi, wewe unaenda kuchukua tu mzigo wako. Alibaba mara nyingi wanauza jumla jumla, kama unataka vitu vikubwa ( mzigo mkubwa)unaweza kununua Alibaba, lakini kama unataka mizigo midogo midogo ili na wewe uuze nakushauri Aliexpress

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Fahamu kuwa Alibaba ni B2B ikiwa na Maana kwamba ni Business 2 Business na ndio maana asilimia kubwa ya Supplier hawauzi kitu kimoja kimoja Wengi utakuta ni Kuanzia pcs kadhaa. Sasa Basi Unapoona bei imewekwa hapo ni kwa anayenunua pcs nyingi au walizoziainisha wao na Unapotaka kitu kimoja unawasiliana nao na wengine wanakubali na wengine wanakataa.

Kuhusu bei, Bei zao ni F.O.B (Freight on Board) maana yake ni Bei ya Kununua tu sasa unapotaka kusafirisha ndio unawasiliana nao na kuwaeleza Nchi uliyopo na watakupa Bei ya Jumla au ya Kusafirisha Peke yake. Kuhusu na Mzigo inategemea ni mzigo wa aina gani Kuna mizigo ambayo inasafirishwa kwenye Meli ambapo Inachukua Siku 28 mpaka 35 kufika na Hapa Ikifika Fahamu kuwa utahitaji Kuwa na Clearing Agent ambae atakufanyia kazi ya kuclear mzigo wako baada ya kumalizana na TRA lakini Pia Kuna baadhi ya Mizigo ambayo naweza sema ina uzito Wa Wastani ambayo pia wanasafirisha kwa Ndege hii inachukua siku chache sana kufika hapa Kwetu Tanzania. Na Pia Unachotaka kununua inabidi umuulize kuhusiana na Usafirishaji anatumia njia gani.

Sio kweli Kwamba Bei wanayokuwekea imejumuisha na KODI HAPANA bei hizo hazijajumuishwa na KODI Yoyote ile ya TRA ni Jukumu lako Kulipia Kodi Endapo itahitajika kufanya hivyo maana kuna mizigo Hailipiwi Kodi kutokana na Uzito kama sijakosea.

Sasa unapoona mzigo na upo tayari kulipia basi ushauri ni kwamba Tumia TRADE ASSUARANCE ambayo inalinda pesa zako endapo hautoupata mzigo wako au utapata mzigo ukiwa tofauti na uliowekwa kwenye web ya Alibaba.
 
Mimi nipo China na huwa nawanunulia clients wangu bidhaa from Alibaba. Wao wanatafuta wanavyohitaji na wananunua au wananiunganisha na huyo supplier na kufanya malipo kirahisi kupitia wechat then nawafanyia utaratibu wa kuipeleka mizigo yao warehouse.
Huwa natumia Hawaii shipping agents wapo vizuri na bei zao kwa CBM ni 350$-380$ inategemea na bidhaa.
Hii cost inajumuisha na clearence costs kwa mizigo ya loose cargo( ambayo wanachanganya mizigo tofauti ya wateja kwenye container moja)
I get paid by commission.
Pia ninafanya sourcing of different products at a wholesale price!
Wanaotaka factory wholesale prices za bidhaa tofauti ilimradi unachukua pieces ambazo factory unasema ni MOQ ( minimum order quantity)
Possibility ya kupata bidhaa bei nzuri na quality nzuri ipo!!!
WhatsApp +8618857052304
Check my Instagram page @panda_sourcing
 
Back
Top Bottom