Baada ya kuachana na mnyonyaji Said Fella, Aslay asukuma ndinga la maana

Aisee,nimeshindwa kukuelewa ila nimefuatilia post na comments zako nimepata kitu.Sasa ni wapi nimesa nimepata mtu? Ni wapi nimesema nampotezea mtu muda? Umenihukumu kwamba nampotezea muda,ni nani huyo? Wewe ni ke au me? Hapa naona unachofanya ni innuendo na slander.Kama hutajali,najua una contacts zangu,kama unahisi unaweza kunishauri chochote chenye mashiko fanya hivyo privately,vinginevyo unashambulia personality yangu.
mkuu umegonga alafu umeondoka bila kuaga hahahah
 
Back
Top Bottom