Nyamiyaga
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 757
- 588
Acha dharau za kipuuzUkitaka kujua msanii kafanikiwa aache kupiga shoo za ndondo cup A.K.A fiesta
Acha dharau za kipuuzUkitaka kujua msanii kafanikiwa aache kupiga shoo za ndondo cup A.K.A fiesta
Pesa ni pesa mkuu,Fiesta unapiga ukipata kidogo unaonhezea na kule kwingine,wanasema hakuna pesa ndogo.Acha dharau za kipuuz
Madale mmekosa aibu....pelekeni matunzo TandikaHata Ali Kiba hana hiyo. Aslay mtafutie management na huyu mzee, umuokoe.
Kwani nyumba sio kaburi?Na pia ni kaburi linalotembea
Nimewahi kuona,mm nilijikita kwenye garKwani nyumba sio kaburi?
We ujawahi kuona mtu kaangukiwa na ukuta wa nyumba yake na kufa?
Hujawahi kusikia nyumba imeungua moto?!
Aisee,nimeshindwa kukuelewa ila nimefuatilia post na comments zako nimepata kitu.Sasa ni wapi nimesa nimepata mtu? Ni wapi nimesema nampotezea mtu muda? Umenihukumu kwamba nampotezea muda,ni nani huyo? Wewe ni ke au me? Hapa naona unachofanya ni innuendo na slander.Kama hutajali,najua una contacts zangu,kama unahisi unaweza kunishauri chochote chenye mashiko fanya hivyo privately,vinginevyo unashambulia personality yangu.
Aisee,nimeshindwa kukuelewa ila nimefuatilia post na comments zako nimepata kitu.Sasa ni wapi nimesa nimepata mtu? Ni wapi nimesema nampotezea mtu muda? Umenihukumu kwamba nampotezea muda,ni nani huyo? Wewe ni ke au me? Hapa naona unachofanya ni innuendo na slander.Kama hutajali,najua una contacts zangu,kama unahisi unaweza kunishauri chochote chenye mashiko fanya hivyo privately,vinginevyo unashambulia personality yangu.
kwahiyo mtoto wa watu umemdanganya na kumpotezea muda wake? Basi ni vema ungeweka mambo wazi angeweza kujipaga kivingine maana huwezi jua fursa ngapi ulizompotezea. Wapo tuliokuwa tunamhitaji kwa malengo mazuri ya kujenga familia na ndoa hapo badae lakini kama umemchukua kwa ajili ya sababu flaniflani ili uweze kuneemeka kwa mgongo wake sio FAIR nadhani ni dhambi......Haya mahusiano wengine tupo serious, ila watu kama nyie mnatukatisha tamaa. Na mbaya zaidi hao wanawake mnaowachezea ni wazuri mno tu yani wife materials ila mnawachukulia poa mkishawaweka kibindoni na siku mkiwapoteza mnakuja kulilia hapa JF.
Acha kumdanganya mtoto wa watu, kama huna dhamira serious ni vema ukaweka wazi. Watu tunatafuta wanawake wenye vision na akili kama wewe hukioni hicho kwa uliyenaye maana unaonyesha una gubu la level ya PhD. Maandishi yako tu yanaonyesha wewe ni mtu usiyeridhika ndio maana mkeo hakutaka kurudi na bado ukatafuta mke mwingine ambaye inaonyesha umeshampata lakini bado hujaridhika kwasababu ya gubu lako.......
nakuhakikishia hata kama umempata demu wa aina gani ipo siku atakuchoka sio kwa gubu hilo na uandishi wako wa kejeli ......BADILIKA KAKA, DUNIA HAIPO KWA AJILI YA TAMAA ZAKO TU.....
Alimnyonyaje labda tujue kwanza.Kumuokota sio tiketi ya kumnyonya.
Kuna kitendawili hapaInaonekana nyie mnajuana vizuri sana nje ya hapa
Alikiba sasa anapambanishwa na Aslay....Ali kiba anayo X6 sema tuu hapendii show off
Ebu njoo chamber achana na huyo ila kama upo seriouskwahiyo ushapata mchumba ama? ni kitu gani ulitaka kuprove. Mimi natafuta mchumba lakini humu JF siddani kama kuna mwanaume yupo serious. kwahiyo ulikua unazuga?
Fella ndo aliyemuokota.
Intelligent for what? How did you measure it? Say he is very talented.I am appreciative to this young figure, he is very intelligent and determined.
....kuna gharama za kuokotwa lazima uzilipie.Kumuokota sio tiketi ya kumnyonya.
Mmmh...lkn mbona hata kule alikuwa na gari?mi naona ni muda wake tu ulikuwa haujafika wa kumiliki hilo gari...vipi ikitokea amekuwa na meneja mpya akanunua gari kali zaidi?maana yake huyu wa sasa ataonekana mnyonyaji?Kumbe Fella ni mnyonyaji. Afadhali basi dogo afaidi matunda yake
Unaweza amka ukaambiwa umejenga kwenye hifadhi ya Barabara ndani ya Mita 120 hivyo inatakiwa ibomolewe....hata nyumba ni kaburi lililo simama mzee