Baada ya kuacha kumlea mwanangu kimayai, nimeona akiimarika

Malezi ya mtoto ni issue ya kubalance tu,

Usimpe sana raha wala asipate tabu sana,kikubwa awe na uwezo wa kuishi kwenye hali zote mbili,

Kama tunavyojua kua life is very short,ni lazima mtoto umuandae kuishi maisha hata kama Mungu atakuchukua,

Usimpe mtoto kila akitakacho wala usimnyime kila akitakacho
✔️✔️✔️✔️✔️
 
Mkuu sisi kwetu tulikuwa watoto wengi na wote tulisoma kayumba, basi siku moja tulifunga shule tukapewa ripoti tupereke home, ile tumefika tu tukamkuta mzee kakaa nje tukampa ripoti kazifungua akasoma tulikuwa tumekuwa wa mbali (nafasi mbovu) lakini mdogo wetu mmoja alikuwa wa 3, mzee alichomoa elfu 10 ya enzi hizo akampa dogo akanunue nguo za sikukuu alafu sisi tukakunjishwa ngumi na akaagiza fimbo za mipera, tulipigwa sana hiyo siku

Huo ndio ukawa utaratibu wake ukiwa wa mbali unachezea stick ukiwa tatu bora unachukua elfu 10, huu utaratibu ulinipa motisha nikatoka nafasi ya 100 mpaka ya 80 baadae 26 baadae 18 baadae 5 kisha 3 na nikawa unacheza 1,2 au 3 hadi sekondari ikawa hivo hivo

All in all utaratibu huu umenisaidia sana nitautumia kwa watoto wangu
 
Unashangaa dakika 25 mkuu?? kuna watoto ambao wanatembea hadi saa zima,
Sijashangaa mkuu, ila sidhani kama hii ina matokeo yoyote chanya kwa mtoto

Asilimia 90% ya waTz wametembea hayo masaa kwenda shuleni, lakini hakuna chochote cha tofauti na wale wanaotumia schoolbus, mwisho wa siku hata vitabu utasema usinunue akomae mwenyewe
 
Siku zingine mnapotaka 'Kujimwambafai' Kwetu kutokana na kupata 'Vipesa' vyenu vya Ngama ( Kubahatisha ) msiwe mnazunguka sana katika kutaka Kututangazia kwani wengine huwa tunawashtukieni mapema tu.
 
Back
Top Bottom