Baada ya kipindi cha msoto wa muda mrefu hatimaye ndoto imekuwa kweli

yorkshire

JF-Expert Member
Sep 9, 2016
2,442
2,944
Ilikuwa ndoto yangu ya muda angalau niwe na usafiri wa kueleweka sikuwa nahitaji kuwa na mkebe wa gari ...hiyo kitu sikuitataka kabisa

Sasa kuna mishe nilikuwa nazifanya naona zimetiki na hapa nipo na machaguo mawili na moja ndilo natakiwa kuchukua kwa kipindi hiki

Nahitaji wenye uelewa mpana wa hizi ndinga :

Land Rover Discovery 3 TDV6 HSE diesel ya mwaka 2008 chasis # SAL 788 cc 2700

Na hii Volkswagen Tuareg TDI diesel ya mwaka 2009 chasis # WVG148 cc 2500

Nataka kujua haya

1.Ulaji mafuta
2.Uwezo wa kuhimili rough road
3.Uimara (sitaki gari ya miaka 2 inakuwa imeshaisha nataka alinunua babu hadi...)
4.Na mengineyo kama yapo

IMG_20181223_093459.jpg
IMG_20181223_093602.jpg
IMG_20181223_093426.jpg
BG046417_aac2e9.jpg
BG046417_1ab84c.jpg
BG046417_285e46.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tujue permanent kipato chako kikoje usije kuwa umeshinda Biko afu unauza karanga na unataka gari lenye CC 2700.
 
Ilikuwa ndoto yangu ya muda angalau niwe na usafiri wa kueleweka sikuwa nahitaji kuwa na mkebe wa gari ...hiyo kitu sikuitataka kabisa

Sasa kuna mishe nilikuwa nazifanya naona zimetiki na hapa nipo na machaguo mawili na moja ndilo natakiwa kuchukua kwa kipindi hiki

Nahitaji wenye uelewa mpana wa hizi ndinga :

Land Rover Discovery 3 TDV6 HSE diesel ya mwaka 2008 chasis # SAL 788 cc 2700

Na hii Volkswagen Tuareg TDI diesel ya mwaka 2009 chasis # WVG148 cc 2500

Nataka kujua haya

1.Ulaji mafuta
2.Uwezo wa kuhimili rough road
3.Uimara (sitaki gari ya miaka 2 inakuwa imeshaisha nataka alinunua babu hadi...)
4.Na mengineyo kama yapo

View attachment 985298View attachment 985299View attachment 985300View attachment 985301View attachment 985302View attachment 985305

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua VW Touareg Ila chukua yenye 3.0TDI. Hio ya 2.5Tdi unazingua sana system ya ac/alternator.
Touareg is cheap to run comparing to LR Disco 4
 
Ilikuwa ndoto yangu ya muda angalau niwe na usafiri wa kueleweka sikuwa nahitaji kuwa na mkebe wa gari ...hiyo kitu sikuitataka kabisa

Sasa kuna mishe nilikuwa nazifanya naona zimetiki na hapa nipo na machaguo mawili na moja ndilo natakiwa kuchukua kwa kipindi hiki

Nahitaji wenye uelewa mpana wa hizi ndinga :

Land Rover Discovery 3 TDV6 HSE diesel ya mwaka 2008 chasis # SAL 788 cc 2700

Na hii Volkswagen Tuareg TDI diesel ya mwaka 2009 chasis # WVG148 cc 2500

Nataka kujua haya

1.Ulaji mafuta
2.Uwezo wa kuhimili rough road
3.Uimara (sitaki gari ya miaka 2 inakuwa imeshaisha nataka alinunua babu hadi...)
4.Na mengineyo kama yapo

View attachment 985298View attachment 985299View attachment 985300View attachment 985301View attachment 985302View attachment 985305

Sent using Jamii Forums mobile app


Duh

Mpaka umefikia level ya kununua hizi gari sidhani kama kigezo cha mafuta ni ishu tena!

Kama unaulizia ulaji wa mafuta mkuu nadhani kuna steji ya maisha umeruka umevamia hii...

Hizi gari ni za high end...Ulaji wa mafuta inatakiwa isiwe hoja ya kuzungumzia kabisa!
 
Discovery 3 2.7l ni ya diesel hio so consumption yake ni ya kawaida sana,akipata manual inakua poa zaidi ila akirogwa akanunua disc.3 ile v8 4.4l atajuta aisee maana consumption yake ni 1lt/5km saa nyingine inashuka mpk 1lt/4km kutegemea na uendeshaji wako.

Disco.3 ina magonjwa ya ajabu ajabu sana sio reliable kihiivyo,zile air suspension tu zikizingua mamilion yatakutoka unless uzibadili kwenda standard suspensions though ule utamu wa gari unapungua,kuna siku unaamka tu limeroga milango haifunguki ukimleta fundi jiandae kwa mpunga kukutoka vzr tu. etc

Spare parts ziko shops kibao though pia bei yake imechangamka kiaina yake.

Apart from matatatizo mengine ni gari poa sana,confortable,off-road liko poa pia though kutokana na maintainance costs zake mtu unaogopa kulipeleka hata offroad.

Ukifanikiwa kamata hio disco.3 2.7l manual HSE kula maisha,maisha ni haya haya tu.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ilikuwa ndoto yangu ya muda angalau niwe na usafiri wa kueleweka sikuwa nahitaji kuwa na mkebe wa gari ...hiyo kitu sikuitataka kabisa

Sasa kuna mishe nilikuwa nazifanya naona zimetiki na hapa nipo na machaguo mawili na moja ndilo natakiwa kuchukua kwa kipindi hiki

Nahitaji wenye uelewa mpana wa hizi ndinga :

Land Rover Discovery 3 TDV6 HSE diesel ya mwaka 2008 chasis # SAL 788 cc 2700

Na hii Volkswagen Tuareg TDI diesel ya mwaka 2009 chasis # WVG148 cc 2500

Nataka kujua haya

1.Ulaji mafuta
2.Uwezo wa kuhimili rough road
3.Uimara (sitaki gari ya miaka 2 inakuwa imeshaisha nataka alinunua babu hadi...)
4.Na mengineyo kama yapo

View attachment 985298View attachment 985299View attachment 985300View attachment 985301View attachment 985302View attachment 985305

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi sijui magari ila bro Discover iko good na gari zote hasa Range nazikubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi sijui magari ila bro Discover iko good na gari zote hasa Range nazikubali

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli ila reliability ndio tatizo,zile disco tdi ndo kilikua chuma kile,td5 ilikua poa pia ila disco 3&4 ni hivyo hivyo reliability sio kihivyo

Ndio maana watu wengi wenye disco 3&4/Range hua ana gari yake nyingine reliable kwa ajili ya day to day activities.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni kweli ila reliability ndio tatizo,zile disco tdi ndo kilikua chuma kile,td5 ilikua poa pia ila disco 3&4 ni hivyo hivyo reliability sio kihivyo

Ndio maana watu wengi wenye disco 3&4/Range hua ana gari yake nyingine reliable kwa ajili ya day to day activities.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Anhaa na je,hiyo tourage hebu tupe ABC zake boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Discovery 3 2.7l ni ya diesel hio so consumption yake ni ya kawaida sana,akipata manual inakua poa zaidi ila akirogwa akanunua disc.3 ile v8 4.4l atajuta aisee maana consumption yake ni 1lt/5km saa nyingine inashuka mpk 1lt/4km kutegemea na uendeshaji wako.

Disco.3 ina magonjwa ya ajabu ajabu sana sio reliable kihiivyo,zile air suspension tu zikizingua mamilion yatakutoka unless uzibadili kwenda standard suspensions though ule utamu wa gari unapungua,kuna siku unaamka tu limeroga milango haifunguki ukimleta fundi jiandae kwa mpunga kukutoka vzr tu. etc

Spare parts ziko shops kibao though pia bei yake imechangamka kiaina yake.

Apart from matatatizo mengine ni gari poa sana,confortable,off-road liko poa pia though kutokana na maintainance costs zake mtu unaogopa kulipeleka hata offroad.

Ukifanikiwa kamata hio disco.3 2.7l manual HSE kula maisha,maisha ni haya haya tu.




Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante mkuu kwa ushauri lkn nyingi ni automatic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom