Baada ya kipigo cha newcastle: Shabiki wa man united ajiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya saba

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
[h=3]
[/h]
1480784_10151844834302746_1031802706_n.jpg
Kijana mmoja anayeaminika kuwa shabiki wa Manchester United Football Club amejiua jana usiku jijini Nairobi baada ya timu yake kufungwa 1-0 to Newcastle.
Polisi imesema kwamba John Jimmy Macharia, 23, alijirusha kutoka ghorofa ya 7 baada ya kujua timu yake imepoteza mchezo wa jana jioni. Kwa mujibu wa mkuu wa polisi jiji la Nairobi Benson Kibue, Macharia aliwaambia rafiki zake hawezi kuendelea kuangalia timu yake ikifungwa kila siku kabla ya kuruka ghorofani. “Mashahidi wote waliokuwepo wakati wa tukio bado wapo mikononi mwa polisi wanahojiwa,” alisema. Kibue aliwashauri vijana wa jiji la Nairobi kufahamu English Premier League ni mchezo tu kama ilivyo michezo mingine na hivyo waache kuchukua hatua za namna hii kisa michezo. Hii si mara ya kwanza kwa kwa kijana kupoteza maisha kwa ajili ya michezo inayochezwa England,” alisema Kibue.

 
Aisee pole kwa familia husika..naomba Mungu anisaidie nisifikie hatua ya kujiua kwa sababu yoyote..
 
Mpaka hii ligi iishe, watajirusha wengi sana. Walizoea kubebwa, sasa mwenye mbinu za kuhonga marefa kawaficha wenzie ili aendelee kuonekana kwamba yeye alikuwa bora zaidi. Kikosi ni kile kile, wachezaji ni wale wale plus Fellaini.
 
Mpaka hii ligi iishe, watajirusha wengi sana. Walizoea kubebwa, sasa mwenye mbinu za kuhonga marefa kawaficha wenzie ili aendelee kuonekana kwamba yeye alikuwa bora zaidi. Kikosi ni kile kile, wachezaji ni wale wale plus Fellaini.

Man u 8-Arsenal 1
{Man u<>20bpl cups} nyambaf it's all opponents!
 
[h=3]
[/h]
1480784_10151844834302746_1031802706_n.jpg
Kijana mmoja anayeaminika kuwa shabiki wa Manchester United Football Club amejiua jana usiku jijini Nairobi baada ya timu yake kufungwa 1-0 to Newcastle.
Polisi imesema kwamba John Jimmy Macharia, 23, alijirusha kutoka ghorofa ya 7 baada ya kujua timu yake imepoteza mchezo wa jana jioni.
Each and every one of we human beings is INSANE but the degree of INSANITY differs from one person to another!
 
Watu wanaojiua kwa 7bu za kijinga na kizembe kama hizi tena kwa mambo yasiyokuwa na maslahi kwao ningekuwa malaika wa azabu ningeongeza azabu mara 100 zaidi, mtu anajifanya ana uchungu kuliko wenye timu ama wachezaji na kocha
 
Watu wanaojiua kwa 7bu za kijinga na kizembe kama hizi tena kwa mambo yasiyokuwa na maslahi kwao ningekuwa malaika wa azabu ningeongeza azabu mara 100 zaidi, mtu anajifanya ana uchungu kuliko wenye timu ama wachezaji na kocha

si ndio hapo sasa,wangeanza kujiua wachezaji,kocha,wenye timu na mashabiki wa uingereza yeye angekuwa wa mwisho apo ingekuwa sawa,lakin kitendo alichofanya ata wachezaji wanamshangaa
 
kwenye mitandao ulaya kuna comments za baadhi ya mashabiki wanadai MOYES huwa anacheza kamali na ile mechi na EVATON aliweka dau kubwa hvyo ingekuwa hasara kubwa kama ingeshinda MAN .
nmeumia sana kama shabiki wa man yan anatusaliti kama ZITTO
 
Back
Top Bottom