Baada ya kipigo cha leo kocha ajiuzulu.

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,629
Wakuu baada ya Timu ya taifa ya kenya kufulia kwenye mechi zake zote sasa kabla ya mechi ya leo dhidi ya Uganda kocha wa timu ya taifa ya Kenya bwana JACKOB MULEI aliwaambia wachezaji wake kuwa endapo watapoteza mechi hiyo basi atajiuzulu kama kocha mkuu na hatimaye amefanya hivyo baada ya kupokea kipigo kingine cha 2-0 kutoka kwa waganda. Source BBC-Swahili.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom