Baada ya kili stars kutinga fainali: Tufanyeje ili kombe libaki tz?

ChiefmTz

JF-Expert Member
Apr 15, 2008
2,937
937
Wanajf na wapenzi wa mpira wa miguu, naamini kuwa sote ni wenye furaha baada ya ushindi wa timu yetu. Hata hivyo naamini kuwa ushindi huo hautakuwa na maana yoyote, iwapo Tanzania haitakuwa bingwa wa Tusker Challenge Cup kwa 2010. Kwa kuwa kushinda au kushindwa kwa Stars hapo kesho ni furaha au huzuni kwetu sote, Naombeni maoni yenu ya nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa Kombe linabaki nchini. Maoni haya yatapelekwa kwa wahusika, kwa yale yatakayokuwa nje ya uwezo wetu.
 
Wanajf na wapenzi wa mpira wa miguu, naamini kuwa sote ni wenye furaha baada ya ushindi wa timu yetu. Hata hivyo naamini kuwa ushindi huo hautakuwa na maana yoyote, iwapo Tanzania haitakuwa bingwa wa Tusker Challenge Cup kwa 2010. Kwa kuwa kushinda au kushindwa kwa Stars hapo kesho ni furaha au huzuni kwetu sote, Naombeni maoni yenu ya nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa Kombe linabaki nchini. Maoni haya yatapelekwa kwa wahusika, kwa yale yatakayokuwa nje ya uwezo wetu.


CHA KWANZA KABISA KUFANYIKA AOMBWE BENJAMIN MKAPA NDIO AWE MGENI RASMI KESHO, KWA SABABU YEYE NDIO ALIOUJENGA ULE UWANJA, HAKUNA NJIA MUHAFAKA YA KUMUENZI KAMA HII YA YEYE KESHO KWENDA KUTUKABIZI KOMBE LETU
ANGALIZO, KWA WALE WALIOZOEA KUJIPENDEKEZA KWA MKWERE, KAMA WATAMUALIKA NDIO AWE MGENI RASMI BASI MJUWE KOMBE LINAONDOKA KWENDA IVORY COAST, KWA NINI? KWA SABABU MKWERE ANA GUNDU, SIO CHAGUO LA MUNGU KAMA TULIVYOAMINISHWA MWANZONI, KWAHIYO MUNGU HUJIDHIHIRISHAGA KWA VITENDO. ANAEBISHANA NA UKWELI HUU NA WAMUALIKE MKWERE KESHO, AMTAAMINI MACHO YENU. NATOA HOJA.:A S crown-1:
 
Kuna mawili, Aidha tuliibe au tushinde uwanjani. Kushinda kunataka ari ya wachezaji na support ya watazamaji.
Kuliiba rahisi, wapo wataalam wake!!
 
CHA KWANZA KABISA KUFANYIKA AOMBWE BENJAMIN MKAPA NDIO AWE MGENI RASMI KESHO, KWA SABABU YEYE NDIO ALIOUJENGA ULE UWANJA, HAKUNA NJIA MUHAFAKA YA KUMUENZI KAMA HII YA YEYE KESHO KWENDA KUTUKABIZI KOMBE LETU
ANGALIZO, KWA WALE WALIOZOEA KUJIPENDEKEZA KWA MKWERE, KAMA WATAMUALIKA NDIO AWE MGENI RASMI BASI MJUWE KOMBE LINAONDOKA KWENDA IVORY COAST, KWA NINI? KWA SABABU MKWERE ANA GUNDU, SIO CHAGUO LA MUNGU KAMA TULIVYOAMINISHWA MWANZONI, KWAHIYO MUNGU HUJIDHIHIRISHAGA KWA VITENDO. ANAEBISHANA NA UKWELI HUU NA WAMUALIKE MKWERE KESHO, AMTAAMINI MACHO YENU. NATOA HOJA.:A S crown-1:

Nakubaliana na Matola. JK akija tu uwanjani kombe linaondoka! Walah
 
Kwanza:kocha apange timu iliyo bora na yenye ari. Pili:kocha atumie mfumo wa 4-4-2 ili timu iwe inacheza kwa lengo la kutafuta goli,na si kujihami kwa 4-5-1. Tatu:mashabiki washangilie mwanza mwisho na wasiwazomee wachezaji (pia waache kuleta usimba na yanga siku iyo). Nne:TFF wasijifanye kuweka kiingilio kikubwa,kwani uwanja utawavundia. Tano:TFF wajitaidi kumleta BWM awe mgeni rasmi,na HASILETWE mkwere.
 
Je mwaonaje madereva Hiace, Coaster na Tax wakipeperusha bendera kuanzia leo?
 
QUOTE=ChiefmTz;Je mwaonaje madereva Hiace, Coaster na Tax wakipeperusha bendera kuanzia leo?

Ni wazo zuri,kwani litajenga hamasa na uzalendo miongoni mwa washabiki. Ila suala la kuzomea wachezaji lisijitokeze uwanjani.
 
Kwanza kabisa lazima tuisapoti timu yetu kwa kuishangilia kwa nguvu muda wote wa mchezo, TFF wapange kiinglio ambacho watanzania wengi watamudu kulipa, pia wachezaji wajitume na waweke uzalendo mbele hapo kombe lazima libaki tz, Swala la nani kuwa mgeni rasmi ni imani tu halina mantiki hata akiwa nani wachezaji wakijituma kombe litabaki tu.
 
Kili stars hoyeeeeeeeeee hope kombe litabaki home tujitiokeze kwa wingi kesho ili kuwapa moyo wachezaji big up sana kocha
 
Tumejiandaje na hujuma za CECAFA? Kwani yawezekana members kama Uganda are not happy na wanaweza kuja na hoja ya tukose wote
 
CHA KWANZA KABISA KUFANYIKA AOMBWE BENJAMIN MKAPA NDIO AWE MGENI RASMI KESHO, KWA SABABU YEYE NDIO ALIOUJENGA ULE UWANJA, HAKUNA NJIA MUHAFAKA YA KUMUENZI KAMA HII YA YEYE KESHO KWENDA KUTUKABIZI KOMBE LETU
ANGALIZO, KWA WALE WALIOZOEA KUJIPENDEKEZA KWA MKWERE, KAMA WATAMUALIKA NDIO AWE MGENI RASMI BASI MJUWE KOMBE LINAONDOKA KWENDA IVORY COAST, KWA NINI? KWA SABABU MKWERE ANA GUNDU, SIO CHAGUO LA MUNGU KAMA TULIVYOAMINISHWA MWANZONI, KWAHIYO MUNGU HUJIDHIHIRISHAGA KWA VITENDO. ANAEBISHANA NA UKWELI HUU NA WAMUALIKE MKWERE KESHO, AMTAAMINI MACHO YENU. NATOA HOJA.:A S crown-1:

Mmmh! Wabongo tuna mambo.
 
.........nafikiri kuna ile kanuni ya CECAFA kwamba mgeni mualikwa (in this time Ivory Coast, malawi na zambia) hawezi kubeba Kombe hata kama akishinda hivyo kama kanuni hito bado ina-hold then matokeo yoyote ya kesho, kombe linabaki Tanganyika (sio Tanzania)
 
.........nafikiri kuna ile kanuni ya CECAFA kwamba mgeni mualikwa (in this time Ivory Coast, malawi na zambia) hawezi kubeba Kombe hata kama akishinda hivyo kama kanuni hito bado ina-hold then matokeo yoyote ya kesho, kombe linabaki Tanganyika (sio Tanzania)
Lakini ubingwa utanoga zaidi kama tukishinda
 
Hatuwezi kuchakachua matokeo? Tuwaombe nec watusaidie

Enhee, kula tano Afande, hilo ndiyo neno, tuwakodi NEC wachakachue matokeo hata tukifungwa labda 2-0, tunageuza ubao wa matokeo usomeke tumeshinda labda 2-1 au 1-0.
 
Kwani sheria za mpira hazifanani na za NEC? kwamba mtangazaji akikosea akasema KILIMANJARO imeshinda hakuna wa kubisha hata mahakamani
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom