Wanajf na wapenzi wa mpira wa miguu, naamini kuwa sote ni wenye furaha baada ya ushindi wa timu yetu. Hata hivyo naamini kuwa ushindi huo hautakuwa na maana yoyote, iwapo Tanzania haitakuwa bingwa wa Tusker Challenge Cup kwa 2010. Kwa kuwa kushinda au kushindwa kwa Stars hapo kesho ni furaha au huzuni kwetu sote, Naombeni maoni yenu ya nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa Kombe linabaki nchini. Maoni haya yatapelekwa kwa wahusika, kwa yale yatakayokuwa nje ya uwezo wetu.