Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ukoloni umerudi kwa staili nyingine. Tumshukuru Mungu kwa kutunyima mafuta.
Ukoloni huo wa huko na huu wa CCM na Tanzania una tifauti gani na hatuna mafuta hapa ? Bora tungalikuwa nayo tu maana mkoloni ni mkoloni kwisha kazi .