Baada ya kifo cha Waziri wa Ulinzi, ni fursa sasa ya kumtimua Mwigulu

Hapa ndo nakumbuka usemi wa motivation speaker kwamba huwezi kurithisha ajira yako. Ona sasa huyu kaondoka tu tayari ajira yake imeanza mchakato wa kuchukuliwa ili kazi isilale wakati huohuo familia inafikiria jinsi ya kujipanga kuishi bila mleta mtu wa kuziba pengo lililoachwa na mleta mkate wa kila siku.
halafu unakuta mtu mwengine kapewa dhamana ya either DED, RAS,DAS, DC, RC, waziri, naibu waziri, katibu mkuu au Jaji au mwenyekiti anawaonea wengine walio chini yake, wakati ukifa cheo kinachukuliwa na mwengine, huwezi kuzikwa na cheo chako sasa kwa nn unawataabisha walio chini yako?
kwa unaunda zengwe ili mtu afukuzwe kazi?
binaadamu wengine ni zaidi.ya wanyama pori.
 
Kwa namna Mwigulu alivyowakera na kuwaudhi Watanzania walio wengi na hata kusababisha kumpunguzia heshima na umaarufu Rais Samia, sasa ni wakati wa kumtimua Mwigulu kutoka Baraza la Mawaziri. Kwa kufanya hivi Rais Samia atarudisha hadhi yake mbele ya macho ya Watanzania.

Ni wazi Rais Samia atafanya mabadiliko madogo katika Baraza lake la Mawaziri ili kuziba nafasi ya Kwandikwa aliyefariki jana. Hii ni fursa ambayo Rais Samia hapaswi kuacha kuitumia kwani pia haitamjengea chuki kwa ye yote kwa sababu hajasababisha kifo cha Kwandikwa!

Mwigulu must go! Atangulie yeye Burundi!
KINABII HILI JAMBO LIPO
 
Unajua kuna muda inapaswa hata sisi tujielewe, Hadi Sasa mwigulu Hana kosa lolote kwa mama Samia, ilaa sisi wa nje ndio tunaona hafai Ila wao wanaelewana.
Nakusisitiza hao wote Ni CCM, mwigulu hawezi kuamua jambo lolote la kitaifa bila raisi kuridhia.
Pia tuache matumaini hewa
  • tulisema raisi atavunja baraza
  • tulisema raisi atavunja bunge
  • Sasa tunasema atafanya mabadiliko ya baraza
Hebu tuwe realistic, raisi kwa Sasa hawezi fanya mabadiliko yoyote.
Nakusisitiza yote aliyofanya mwigulu yana baraka za raisi, na nadhani ulimsikia mwenyewe akise
Wapo pamoja na rais kwenye swala la tozo ila tunapingana naye kwenye swala la kuwaambia watu waende burundi
 
Back
Top Bottom