0.009%

Ni utabili wa kujitoa mhanga na mtabiri akiwa anafahamu kuwa Hilo haliwezekani!!
 
Hivi mnaijua CCM nyie au mnaisikia? CCM ni ile ile yani..

Kuondoka kwa Jiwe sio justification ya mambo mapya kivile au maajabu! Lower your expectations...

Kwanza kwa katiba ipi hiyo?
 
Hayo mambo yanawezekana Zanzibar tu kwa wastaarabu.

Kwa mbaali naona Dalili za Mwinyi kufuata nyayo za Baba yake, kuwa Rais wa Zanzibar na Tanzania.
 
How many times must we remind you? "SERIKALI HAINA DINI" repeat "Serikali haina DINI" - kinacho tafutwa ni uwezo wa kuchapa kazi, UBUNIFU kama wa JPM, elimu ya Chuo Kikuu ya moja kwa moja, udhubutu, kuwa na mahamuzi yenye msimamo bila ya kuyumba yumba, kuto ogopa lawama - kuendesha Taifa ki-fang fang kwa miaka mingine mitano tena emulating our hero JPM to the letter...
Kwahiyo hakuna Mkristo mchapakazi mwenye sifa za kuwa Makamu wa Rais?

Jibu kinagaubaga
 
Kuna kila dalili awamu hii pia makamu wa Rais akawa mwanamama (bahati iliyoje?). Kuanzia asubuhi nilipofungulia vyombo kadhaa vya habari kufuatilia yanayoendelea nimesikia wanazuoni, wachambuzi nk wakilitajana jina la Dk Asha Rose Migiro kama VP ajaye.

Itakuwa ni nafasi kubwa sana katika kuelekea usawa wa kijinsia na kuwapa wanawake mamlaka makubwa wanawake nchini.

Kila la kheri mama zetu
 
Kuna kila dalili awamu hii pia makamu wa Rais akawa mwanamama (bahati iliyoje?). Kuanzia asubuhi nilipofungulia vyombo kadhaa vya habari kufuatilia yanayoendelea nimesikia wanazuoni, wachambuzi nk wakilitajana jina la Dk Asha Rose Migiro kama VP ajaye.
Itakuwa ni nafasi kubwa sana katika kuelekea usawa wa kijinsia na kuwapa wanawake mamlaka makubwa wanawake nchini.
Kila la kheri mama zetu
Mwana Mtandao!
 
Kuna kila dalili awamu hii pia makamu wa Rais akawa mwanamama (bahati iliyoje?). Kuanzia asubuhi nilipofungulia vyombo kadhaa vya habari kufuatilia yanayoendelea nimesikia wanazuoni, wachambuzi nk wakilitajana jina la Dk Asha Rose Migiro kama VP ajaye.
Itakuwa ni nafasi kubwa sana katika kuelekea usawa wa kijinsia na kuwapa wanawake mamlaka makubwa wanawake nchini.
Kila la kheri mama zetu
Nchi ni ngumu hii. CCM wakiona akina mama ni wengi ndio njia ya kupiga dili
 
Back
Top Bottom