Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Lissu muumini sana wa Lock down
tutakufa njaa
tutakufa njaa
Kweli aseeNgoja Mataga waje wakiwa wamenuna baada ya kuliona tu hilo jina la Lissu!! Wenyewe mpaka muda huu wanaamini ni Lissu ndiye aliyemtoa uhai mtukufu wao!!
Elitwege njoo huku utie neno! Maana muda si mrefu utakua unajipanga barabarani kumpa mkono Makamu wako Wa Rais Mh. Tundu Lissu!! 😇
Vipi anapigiwa kura bungeni na lazima apate 50%+, wapinzani siyo Wana CCM na hi ni serikali ya CCM.Mungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa.
Twende mbele....
Tatizo ni katiba, Mizengo Pinda ana nafasi kubwa snMungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa.
Twende mbele....
Pia katiba hairuhusuVP anapigiwa kura bungeni na lazima apate 50%+, wapinzani siyo Wana CCM na hi ni serikali ya CCM.
Kweli... VP ni lazima atokane na chama cha Rais; elewa hilo!
Chadema bado wanawaza vyeo kwenye serikali ya CCM ! Ajabu.... VP ni lazima atokane na chama cha Rais; elewa hilo!
Mimi nimesoma HKL lakini nimekuelewa.Mungu Amrehemu kipenzi cha watanzania na jemedari wa kweli, JPM. Kiongozi uliyepambana kuiwrka Tz kwenye ramani kwa gharama kubwa....
Umeona mbali sanaNi kitu ambacho sikitarajii..maana Makamu Rais anaweza kuwa Raisa katika mazingira Kama haya yaliyotokea..so CCM watakubali hilo..endapo baadaye Samia naye akiaga..!?
Kwa hiyo mmechagua kufa na covid19?Lissu muumini sana wa Lock down
tutakufa njaa
Kwahiyo hakuna Mkristo mchapakazi mwenye sifa za kuwa Makamu wa Rais?How many times must we remind you? "SERIKALI HAINA DINI" repeat "Serikali haina DINI" - kinacho tafutwa ni uwezo wa kuchapa kazi, UBUNIFU kama wa JPM, elimu ya Chuo Kikuu ya moja kwa moja, udhubutu, kuwa na mahamuzi yenye msimamo bila ya kuyumba yumba, kuto ogopa lawama - kuendesha Taifa ki-fang fang kwa miaka mingine mitano tena emulating our hero JPM to the letter...
Mwana Mtandao!Kuna kila dalili awamu hii pia makamu wa Rais akawa mwanamama (bahati iliyoje?). Kuanzia asubuhi nilipofungulia vyombo kadhaa vya habari kufuatilia yanayoendelea nimesikia wanazuoni, wachambuzi nk wakilitajana jina la Dk Asha Rose Migiro kama VP ajaye.
Itakuwa ni nafasi kubwa sana katika kuelekea usawa wa kijinsia na kuwapa wanawake mamlaka makubwa wanawake nchini.
Kila la kheri mama zetu
Nchi ni ngumu hii. CCM wakiona akina mama ni wengi ndio njia ya kupiga diliKuna kila dalili awamu hii pia makamu wa Rais akawa mwanamama (bahati iliyoje?). Kuanzia asubuhi nilipofungulia vyombo kadhaa vya habari kufuatilia yanayoendelea nimesikia wanazuoni, wachambuzi nk wakilitajana jina la Dk Asha Rose Migiro kama VP ajaye.
Itakuwa ni nafasi kubwa sana katika kuelekea usawa wa kijinsia na kuwapa wanawake mamlaka makubwa wanawake nchini.
Kila la kheri mama zetu