Katiba ya nchi gani hiyo Mkuu?Kwanini unazungumzia 2025, hujui katiba inasema nini kuhusu muda wa kukaimu nafasi ya Urais??? Hujui kuna uchaguzi kuchagua Rais?? Mama Samia amewekwa kwa mujibu wa sheria inayotaka Raisi awe amepatikana kwa kuchaguliwa!!
Ni kweli. Unajua kifo cha Magufuli kinaweza kikaleta balaa kubwa sana.
Nchimbi big noNchimbi big no.Tony sawa anafaa.
Acha uongo! Prof. Assad ali tolewa kisa Auditing zake ni tight. Tz 1.5 Trillion. Hadi Ndugai aliingilia ugomvi. Kisa kusema Matibabu ya Mabilioni ya Ndugai India. Huyo Spika Akateua kampuni feki kumkagua Assad. Kujipendekeza ili Assad afukuzwe akawa ana peleka chunguzi za Bunge Ikulu.Assad alitolewa kwa ufisadi wake na Dr. Dau pale NSSF! Ukitaka kujua kama tumeibiwa kwenye ununuzi wa ndege nenda kwenye WEBSITE ya BOEING!
Tutafungwa oohIwe nchi ya wananchi Kama Yanga tu itakuwa poa.
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina...
Ooohk sawa sawa Mkuu..Ahsante sana,basi kwa nukta yako itapendeza wampe kitiNi kijana. Musomi. Hana uchama (CCM au Uchadema). Ni mchapa kazi. Popote ana deliver. Eme deliver ELIMU Simiyu. Maendeleo popote alipo. Hana issue za show off-Ma camera/TV. Hapana. Ana utu. Hawezi dhalarisha mtu jukwaani. Ni mcha Mungu. Ni mtoto wa Mkulima...
Hawala yakoKura yangu kwa mchimbi
Hela za Riadha au michezo hazina strictly audit, hasa yale mamichango ya marathon za mikoa ambazo zipo karibu kila mwezi. Hazifanyiki bila kibali cha RT. Labda ndio sababu ya wao kutaka uongozi.Hivi Riadha ina pesa gani mkuu? Kupiga ni tabia ya mtu. Japo siyo kwamba hapigi. Ila cheo cha Mkuu wa Mkoa ana uwezo wa kupiga dili zaidi ya Budget yote ya nchi ya Riadha. RC Makonda kupitia cheo cha RC amepiga vingii.
Ikiwa amesema uongo kwa makusudi kwa kweli haikubaliki, lakini huenda hata yeye aliaminishwa anazungumza na muheshimiwa lakini huenda ulikuwa usanii wa kitengo, hivyo tusimuhukumu moja kwa moja kwani kuna mambo yanafanyika yapo nje ya ufahamu wetu.Natamani kuona huyu Waziri Mkuu wa sasa akifyekelewa mbali. Mtu muongo abakie zake huko na uongo wake.
Kwa majibu yako ya ajabu, I suggest you should have your head examined - don't you think?Ama kwa hakika tulivyohuzunika kwa yaliyotokea October mwaka jana ndio tumefutwa machozi jana...