Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Wangemuweka Gwajima sio mbaya
Mimi nilijua Makamu hawezi kutokea ndani ya bunge.Tusubiri tuone kwani jukumu hili ni la CCM na wana kikao nyeti Jumamosi ijayo. Subira inalipa!
Mwigulu Nchemba??.Mwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Suala la dini kuwa moja na Rais na Waziri Mkuu litakuwa kikwazo kwa January, japo nami naona angelifaa sana.Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.
Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Yaah lazima awe na sifa za kuweza kuwa Mbunge au Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi, lLAKINI siyo lazima AWE Mbunge au Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi ili awe Makamu wa Rais.Mimi nilijua Makamu hawezi kutokea ndani ya bunge.
Kuliko turudushwe tena kwenye aliyepasua nchi kwa ukanda na ukabila bora tuongozwe bila makamu tubaki na mama anatosha sana. Msituletee tena maumivu ya kutugawa watanzania. Imetosha.Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Mimi naona January kama NI SPENT FORCE! Sasa haya ni mawazo yangu. Msinitukane, myaheshimu tu hivyo hivyo!Suala la dini kuwa moja na Rais na Waziri Mkuu litakuwa kikwazo kwa January, japo nami naona angelifaa sana.
1. Jakaya Mrisho Kikwete, apewe umakamu wa rais
2. Butiku
3. Kimei
4. Kinana
5. Warioba
6. Prof Muhongo
7. Makinda
7. Mwamunyange
8. Lissu
9. Chikawe
10. Mwandosya
Hao akina January, mwigulu sijui kabudi bado sana. Anatakiwa mkongwe na mwenye busara ya kumwongoza mama kuliweka taifa pazuri
Alikuwa hampendi kabisa. Chuki ya wazi. Yasni Aisee ngoja tunyamaze. Ninakumbuka jinsi pia mke wa Mahiga alivyodhalilika? Acha tusifukue makaburi maana ni mengi mno.Balozi Mahiga alifariki tar 1 May 2020, kesho yake tar 2 May Rais akamteua Nchemba kuziba hiyo nafasi (kabla hata ya mazishi).
Naamini huko Magufuli aliko, angependa tumuenzi kwa kuziba nafasi hizo haraka sana tena kabla ya mazishi.
Hafai hafai. Sipendi watu wanaotolewa majalalani mimi.Poleni Watanzania kwa msiba mzito,lakini nchi itaendelea na maisha lazima yaendelee.
Kwa mujibu wa katiba sasa Rais ni mama anatokea Zanzibar na makamo anapaswa atokee bara.
Mzee kabudi anafaa kwa nafasi hiyo, tunaomba CCM mlifanyie hili kazi.
These wolves!!!??? spare me plsMwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
Jamani msitulundike kikabila mtego wa panya unaonasa mpaka paka.Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.