MmmmhKuna kila dalili kuwa makamo wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania atatokea mkoani Kilimanjaro
Stay turned
UruWilaya gani?
Saivi ni saa 22:03 mkuu ushalala?Kuna kila dalili kuwa makamo wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania atatokea mkoani Kilimanjaro
Stay turned
Labda anaota atakuwa Aggrey Mwanri mzee wa Injiniaaa!! Soma hiyooo!We si umtaje tu, Kwan shida iko wapi ukimtaja
gogoki kashawataja ma VP wajao.Mama yetu hatutaki kuchoka kukushauri kwa kutambua mzigo ulio nao mbele ya safari. Hivyo unahitaji mtu makini sana wa kwenda na wewe sanjari na siye mtu ambaye hatokusikikiza na ataanza kuhangaika na kujiandaa na 2025.
Huyu Makamu wa Rais lazima awe na sifa hizi;
1.Mwadilifu
2.Mnyenyekevu na mwenye upendo
3.Atoke katika kundi la mawaziri ambao hawajawahi kushindwa kazi walizopewa na mtangulizi wako JPM, hapa yupo LUKUVI, Philip Mpango,Prof Kabudi
4.Awe Coaching person na Mentor, Yaani mtu ambaye anaweza kuongea na umma akaeleweka
5.Asitoke katika kundi lolote hasa wanasiasa wanaotajwa kwenye Urais 2025.
6.Awe amepevuka vizuri katika mauala ya kigeni hasa kwenye diplomasia.
7.Asiwe mtu wa kuja kuchochea mgawanyiko katika jamii.
Kupitia sifa hizo naamini tutapa VP bora kabisa na mwenye kutii maelekezo yako Mama.
Wanaccm tunakupenda na tunakutakia majukumuemo.
Kabudi tena?Mama yetu hatutaki kuchoka kukushauri kwa kutambua mzigo ulio nao mbele ya safari. Hivyo unahitaji mtu makini sana wa kwenda na wewe sanjari na siye mtu ambaye hatokusikikiza na ataanza kuhangaika na kujiandaa na 2025.
Huyu Makamu wa Rais lazima awe na sifa hizi;
1.Mwadilifu
2.Mnyenyekevu na mwenye upendo
3.Atoke katika kundi la mawaziri ambao hawajawahi kushindwa kazi walizopewa na mtangulizi wako JPM, hapa yupo LUKUVI, Philip Mpango,Prof Kabudi
4.Awe Coaching person na Mentor, Yaani mtu ambaye anaweza kuongea na umma akaeleweka
5.Asitoke katika kundi lolote hasa wanasiasa wanaotajwa kwenye Urais 2025.
6.Awe amepevuka vizuri katika mauala ya kigeni hasa kwenye diplomasia.
7.Asiwe mtu wa kuja kuchochea mgawanyiko katika jamii.
Kupitia sifa hizo naamini tutapa VP bora kabisa na mwenye kutii maelekezo yako Mama.
Wanaccm tunakupenda na tunakutakia majukumuemo.
Hatimaye japo nilipingwa na baadhi ya memberKigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe Mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria.
Bado unataka fact mkuu?Jibu swali,au uliropoka tu ili kuifurahisha nafsi yako? hii ni JF tunaenda kwa fact.