Baada ya kifo cha Mandela. Je Graca Machel ata...?

iMind

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
2,865
4,249
1. Ataolewa na Rais Mwingine.
2. Atarudi msumbiji kuishi maisha ya ujane.
3. Ataendelea kuishi SA.
 
Wala msimsikitikie huyo mjane. Lilieni ndoa zenu zinazotimiza miaka 10,20,30,40 mpaka 50 lakini ndani ya nyumba ni miserable life!! Mwenyewe anasema miaka 15 aliyoishi na Madiba were most precious, peaceful n hapiness was in the air.. N she's goin 2 cherish n honor every minute they spent together
 
1. Ataolewa na Rais Mwingine.
2. Atarudi msumbiji kuishi maisha ya ujane.
3. Ataendelea kuishi SA.

Kwani kuna Rais Mstaafu mwenye good personality ambaye kaachana na mkewe au kafiwa na mke hapa Afrika (Kusini mwa Sahara)?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom