Baada ya kifo cha Magufuli, Wapinzani walituaminisha chuki zitaisha kumbe bado?

Kuna wakati huwa najiuliza hivi Tanzania ilikuaje kabla ya uongozi wa Magufuli? Maana ukisikiliza lawama anazobeba Magufuli kwa mtu mgeni na Tanzania pengine anaweza kufikiri Tanzania chini ya Magufuli inautofauti wa ardhi na mbingu na Tanzania chini awamu zilizopita nyuma yake. Magufuli katawala kipindi kifupi sana cha miaka mitano ila lawama anazobeba ni kana kwamba matatizo yote ya uongozi kwenye nchi hii chanzo ni Magufuli au kwamba yeye ndio chanzo cha Tanzania kuwa nyuma kimaendeleo.
 
Kuna wakati huwa najiuliza hivi Tanzania ilikuaje kabla ya uongozi wa Magufuli? Maana ukisikiliza lawama anazobeba Magufuli kwa mtu mgeni na Tanzania pengine anaweza kufikiri Tanzania chini ya Magufuli inautofauti wa ardhi na mbingu na Tanzania chini awamu zilizopita nyuma yake. Magufuli katawala kipindi kifupi sana cha miaka mitano ila lawama anazobeba ni kana kwamba matatizo yote ya uongozi kwenye nchi hii chanzo ni Magufuli au kwamba yeye ndio chanzo cha Tanzania kuwa nyuma kimaendeleo.
Maendeleo yoyotee yaa jamii lazima yaguse jamii ya watu , ndugu mwendazake hakujali maendeleo yaa watu yenye kujengaa haki, usawa, demokrasia ya watu, upendo na mshikamanoo wa kitaifa,yeye analaumiwa kwa kuwa hivyo hakufanya bali alijali maendeleo ya vitu, raia kuishi kinyonge,kuumizwa, kutekwa, kukosa siasaza ushindani wa hoja, wapinzzni kufungwa na kufilisiwa na wengine kukimbia nchi, je tawala zilizopita zilifanya haya?
 
Maendeleo yoyotee yaa jamii lazima yaguse jamii ya watu , ndugu mwendazake hakujali maendeleo yaa watu yenye kujengaa haki, usawa, demokrasia ya watu, upendo na mshikamanoo wa kitaifa,yeye analaumiwa kwa kuwa hivyo hakufanya bali alijali maendeleo ya vitu, raia kuishi kinyonge,kuumizwa, kutekwa, kukosa siasaza ushindani wa hoja, wapinzzni kufungwa na kufilisiwa na wengine kukimbia nchi, je tawala zilizopita zilifanya haya?
Ndio maana nasema inawezekana matatizo ya Tanzania kaleta Magufuli na ndio maana lawama zote anabeba yeye, niliona hata issue ya Masheikh wa uamsho kuna watu wanatupia lawama kwa Magufuli yani kwa kifupi hakuna ambapo Magufuli anakosa lawama.
 
Ndio maana nasema inawezekana matatizo ya Tanzania kaleta Magufuli na ndio maana lawama zote anabeba yeye, niliona hata issue ya Masheikh wa uamsho kuna watu wanatupia lawama kwa Magufuli yani kwa kifupi hakuna ambapo Magufuli anakosa lawama.
Issue ya mashehe wa uamsho waliingia kipindi cha Kikwete lawama zake ni mamlaka yake kutumia kama alivyofabya kwa Babu Seya family
 
We ni mpumbavu huyo takataka wako aliyewatuliza wapinzani yuko wapi?
Ameoza ananuka uvundo mtupu.
Mpaka sasa Samia hajafanya chochote cha kutuliza wala kuondoa chuki zaidi ya kuongea maneno matamu, chuki haitaisha kama mtaendelea kuchochea na tukipata nafasi ya kujibu mapigo tutajibu mara mia ya mnayotufanyia.
Mtoto wa kahaba.
 
Hujui maana ya kuhubiri chuki na kuweka rekodi sawa. Wanachofanya wapinzani ni kuweka ukweli wa ile serikali ya kidhalimu. Diamond sio mwanasiasa bali ni mwanamuziki aliyejiingiza kwenye siasa chafu za Magufuli, ulitakiwa umshauri ajitokeze aombe radhi kwa kushiriki siasa chafu, vinginevyo lazima alipe uchafu alioshiriki kipindi cha Magufuli.
 
Chuki haiwezi kwisha ikiwa walioianzisha hawakuomba radhi na kukiri makosa hadharani.

Kila mtu aendelee kushinda mechi zake tuone mwisho itakuwaje.
Mbn bavicha warembo tuu hata Ndugai wamemshindwa😂😂😂
Waoga kuandmana tuu zaid ya kuku
Wakuje tupashepashe kidogo halafu wanao wakiwauliza walipata ulemavu wap🧐 waseme walikuwa wanamtafutia(kula & kura ) Mbowe 😂😂
 
We ni mpumbavu huyo takataka wako aliyewatuliza wapinzani yuko wapi?
Ameoza ananuka uvundo mtupu.
Mpaka sasa Samia hajafanya chochote cha kutuliza wala kuondoa chuki zaidi ya kuongea maneno matamu, chuki haitaisha kama mtaendelea kuchochea na tukipata nafasi ya kujibu mapigo tutajibu mara mia ya mnayotufanyia.
Mtoto wa kahaba.
Tulifarijika sana kusikia mama atakutana na wapinzani, kwa kweli bado hajaponya mioyo ya watu alifanyie kazi hili kwa haraka
 
Hata enzi ya kikwete walitukana, hawa hawana cha utaifa wala nini.

Mambo yao ni ya kichawi tu.

Mchawi hata mtu mwema yeyote kwake ni ubaya tu na ndo walivyo Chadema.

Tokeni muombe radhi sio kujikausha huku dhambi zenu zikiwa hadharani. Huo uzalendo uchwara bakini nao nyie matokeo ya siasa chafu.
 
Hujui maana ya kuhubiri chuki na kuweka rekodi sawa. Wanachofanya wapinzani ni kuweka ukweli wa ile serikali ya kidhalimu. Diamond sio mwanasiasa bali ni mwanamuziki aliyejiingiza kwenye siasa chafu za Magufuli, ulitakiwa umshauri ajitokeze aombe radhi kwa kushiriki siasa chafu, vinginevyo lazima alipe uchafu alioshiriki kipindi cha Magufuli.
Unajua Diamond anamashabiki zaid ya Mbowe na WCB ina washabiki zaid wa wanachama wa CDM?!
Hapo ndipo mnapofeliiii. Washabiki wa Diamond, konde, zuchu, kiba na wengine kibaooo wameanza kuichukia CDM kwa roho mbaya yaoo
 
Tokeni muombe radhi sio kujikausha huku dhambi zenu zikiwa hadharani. Huo uzalendo uchwara bakini nao nyie matokeo ya siasa chafu.
Mtajiju muulize mbowe master wa siasa za nyumbu siku hizi anspumulia nini?
Amebaki kulalama kma mbweha mtaani?
 
Nimecheka kweli yani eti hasira zao zimeamia kwa Diamond,Ajabu ktk 90% ya wasanii walokua wanapiga kampeni Basi wamemchagua diamond kufuta hasira zao na jinsi walivyo mandezi wakiongozwa na viongozi wao Bila aibu eti wanampigia kura msanii ambaye si mtanzania eti kuwakomesha.

Hapo ndo napata tabu Hawa watu wakichukua nchi visasi na umwagaji damu ndo vitataradadiii
Kwani hao wasanii wote walioshiriki siasa za kishenzi za dhalimu Magu, wanashiriki hilo shindano? Ama hujui unaoongea nini? Yeyeto aliyeshiriki siasa za kidhalimu atoke aombe msamaha, vinginevyo akijitokeza kwenye lolote kutaka umoja wa umma hapati.
 
Unajua Diamond anamashabiki zaid ya Mbowe na WCB ina washabiki zaid wa wanachama wa CDM?!
Hapo ndipo mnapofeliiii. Washabiki wa Diamond, konde, zuchu, kiba na wengine kibaooo wameanza kuichukia CDM kwa roho mbaya yaoo
Sawa ukweli kaambiwa alishiriki kwenye kuhalalisha haramu siyo lazima wapenzi na wanachama wampigie kura
 
Unajua Diamond anamashabiki zaid ya Mbowe na WCB ina washabiki zaid wa wanachama wa CDM?!
Hapo ndipo mnapofeliiii. Washabiki wa Diamond, konde, zuchu, kiba na wengine kibaooo wameanza kuichukia CDM kwa roho mbaya yaoo

Cdm haihitaji support ya washabiki wa hao wasanii hata wawe wengi vipi. Kama mashabiki wa hao wasanii ni wengi, kipi kinawafanya mtake kila mtu ampigie diamonds kura? Sasa subiri wakati wa shindano uone hao mashabiki wengi wa Diamondi kama watampa ushindi. Ukishiriki siasa chafu jiaandae kuukalia.
 
Cdm haihitaji support ya washabiki wa hao wasanii hata wawe wengi vipi. Kama mashabiki wa hao wasanii ni wengi, kipi kinawafanya mtake kila mtu ampigie diamonds kura? Sasa subiri wakati wa shindano uone hao mashabiki wengi wa Diamondi kama watampa ushindi. Ukishiriki siasa chafu jiaandae kuukalia.
haramu haizai halali
 
Unajua Diamond anamashabiki zaid ya Mbowe na WCB ina washabiki zaid wa wanachama wa CDM?!
Hapo ndipo mnapofeliiii. Washabiki wa Diamond, konde, zuchu, kiba na wengine kibaooo wameanza kuichukia CDM kwa roho mbaya yaoo
Wachukie tu CDM imechukiwa na wapumbavu kibao wakiongozwa na muoza zake lakini bado ipo na itaendelea kuwepo.
Sasa tunajenga ofisI kwa nguvu ya wanachama,waambie hao WCB waje wazuie kama wana mashabiki unaowasema.
 
Cdm haihitaji support ya washabiki wa hao wasanii hata wawe wengi vipi. Kama mashabiki wa hao wasanii ni wengi, kipi kinawafanya mtake kila mtu ampigie diamonds kura? Sasa subiri wakati wa shindano uone hao mashabiki wengi wa Diamondi kama watampa ushindi. Ukishiriki siasa chafu jiaandae kuukalia.
😂😂 Na niny tusubir 2025, labda msishiriki maana sioni cdm mwenye akili wa kuingia mjengoni tuu 😂😂, mpinzan atabaki zitto na genge lake
 
Back
Top Bottom