Baada ya Kifo cha Dkt. Magufuli, Jerry Muro ahofia kunyang'anywa cheo chake

Kuna mmoja alikuwa akipita mtaani akasema, "Sasa hatuna mashaka kwa kuwa tupo chini ya mama. Baba anaweza akakataa mtoto lakini mama atalea, baba atakataa mimba lakini mama atabeba mimba take kwa imani. Mama ni mama". alimalizia mpita njia.
 
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Labda huyo mwingine alikuwa kwenye kitengo maalum cha "Death Squad" ndio maana alipata hiyo fursa.
 
Jerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!

Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!


View attachment 1733564
Anajua alipata madaraka kwa kujipendekeza, kwa kquli yake ajiandae kurudi yanga ingawa sijui nqo kama wanamhitaji kwa sasa
 
Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Muro alipitia mgongini mwa DAB

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Jerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!

Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!


View attachment 1733564
Yule ni hamnazo, kumfuatilia ni kupoteza muda karne hii anataja makabila!!!!
 
Jerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!

Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!


View attachment 1733564
HAFAI, HANA HESHIMA NA MWENZAKE SABAYA, HAWAJUI URAIS NI TAASISI, NI SYSTEM, HOFU ZAO NA KUHUSU KIONGOZI ANAYEFUATA ZIWAONDOE KWENYE VITI, ALAFU ANATAJA NA MAKABILA, HAWA NDIO WALIOSABABISHA GOVT IKACHUKIWA CHUKIWA KWA MATENDO YA CHUKI ZA OVYO KWENYE JAMII
 
Mngejiimarisha kwenye kusuka mipango na mikakati ya chama chenu muone mnaongezaje idadi ya wabunge wa kuchaguliwa 2025 hizi cheap politics ambazo zipo based na watu haziwasaidi.
Yaani nimewaza huyu madam aendeleze ile staili ya mzee,ajaze wapemba na waunguja serikalini hadi waishe!! Usingeona huu umwambafication wa wakina muro na saambaya wallah!! Tuendelee tu kuomba Mungu
 
Wengi wao ndiyo walivyo na hofu kuu maana mwiba daima utokea pale ulipo ingilia.

Wana hofu kwa kujua madhaifu yao maana vigezo vilivyo wapatia hivyo vyeo anavijua aliye wateua
Ongezea... Kinachowasumbua ni hofu ya chama kurudi kwa waasisi/wenye chama, hivyo wazamiaji/waunga juhudi wanajua their future is uncertain....
 
Mngejiimarisha kwenye kusuka mipango na mikakati ya chama chenu muone mnaongezaje idadi ya wabunge wa kuchaguliwa 2025 hizi cheap politics ambazo zipo based na watu haziwasaidi.
Hakuna cha cheap politics, hii ndiyo siasa yenyewe sasa...
 
Back
Top Bottom