Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,609
- 11,919
Sasa unamlaumu mleta mada au unalaumu Jerry Muro?Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma
Acha mambo ya kizamani buana
Sasa unamlaumu mleta mada au unalaumu Jerry Muro?Hivi karne hii bado unawaza umachame na usukuma
Acha mambo ya kizamani buana
Labda huyo mwingine alikuwa kwenye kitengo maalum cha "Death Squad" ndio maana alipata hiyo fursa.Ndo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Hakika Mkuu.
Anajua alipata madaraka kwa kujipendekeza, kwa kquli yake ajiandae kurudi yanga ingawa sijui nqo kama wanamhitaji kwa sasaJerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!
Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!
View attachment 1733564
Muro alipitia mgongini mwa DABNdo maana kwa mchango yangu mingi humu najiulizaga Nashindwa kupata jibu Paskali licha ya usukuma wake na katokea kabila na Kanda pendwa teuzi hakupata. Lakini Jerry Muro kutoka jamii inayohofiwa, kuchukiwa, kuogopwa na kutengwa kala shavu. Je Pasco huenda alikuwa anagombania demu na marehemu Jiwe haiwezekani kabisa kuingia akilini
Yule ni hamnazo, kumfuatilia ni kupoteza muda karne hii anataja makabila!!!!Jerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!
Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!
View attachment 1733564
HAFAI, HANA HESHIMA NA MWENZAKE SABAYA, HAWAJUI URAIS NI TAASISI, NI SYSTEM, HOFU ZAO NA KUHUSU KIONGOZI ANAYEFUATA ZIWAONDOE KWENYE VITI, ALAFU ANATAJA NA MAKABILA, HAWA NDIO WALIOSABABISHA GOVT IKACHUKIWA CHUKIWA KWA MATENDO YA CHUKI ZA OVYO KWENYE JAMIIJerry Muro amekiri kuwa kati ya wamachame wachache waliotoboa katika utawala wa Magufuli ambaye ni msukuma na yeye yumo. Hana hakika kama ataendelea kuwa mkuu wa wilaya chini ya Rais mpya Mama Samia. Sasa anajiuliza arudi Yanga ambako alikuwa msemaji wa club au vipi kwani nako Yanga haifanyi vizuri!
Kutokana na kifo cha Rais Magufuli kila mtu anayelia anawaza mazito na hasa tumbo lake!
View attachment 1733564
Awamu hii teuzi za kimalaya hakunaMjanja huyo, hiyo ni Njia nyingine ya kujihakikishia uwepo wake serikali ya Mama samia, Indirectly..
Mpigeni kipapai tuMbona haifunguki?
NIWEKEE NIIONNE, tuko naye meru ana tunyanyasa sana huyu DOGO
Kumbe wana hofu!!!! Ila unaweza kubaki naona unatumia hekima sana siyo kama wengine.
Yaani nimewaza huyu madam aendeleze ile staili ya mzee,ajaze wapemba na waunguja serikalini hadi waishe!! Usingeona huu umwambafication wa wakina muro na saambaya wallah!! Tuendelee tu kuomba MunguMngejiimarisha kwenye kusuka mipango na mikakati ya chama chenu muone mnaongezaje idadi ya wabunge wa kuchaguliwa 2025 hizi cheap politics ambazo zipo based na watu haziwasaidi.
Ondoa hiyo "labda"Labda huyo mwingine alikuwa kwenye kitengo maalum cha "Death Squad" ndio maana alipata hiyo fursa.
Ongezea... Kinachowasumbua ni hofu ya chama kurudi kwa waasisi/wenye chama, hivyo wazamiaji/waunga juhudi wanajua their future is uncertain....Wengi wao ndiyo walivyo na hofu kuu maana mwiba daima utokea pale ulipo ingilia.
Wana hofu kwa kujua madhaifu yao maana vigezo vilivyo wapatia hivyo vyeo anavijua aliye wateua
Hakuna cha cheap politics, hii ndiyo siasa yenyewe sasa...Mngejiimarisha kwenye kusuka mipango na mikakati ya chama chenu muone mnaongezaje idadi ya wabunge wa kuchaguliwa 2025 hizi cheap politics ambazo zipo based na watu haziwasaidi.
Huko mgongoni mwa DAB alikuwa anampitia ili apate ukuu wa wilaya?
Ok