Baada ya kauli ya Mzee Kikwete ningekuwa Mbunge wa Mbeya ningefanya haya

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,148
25,814
Akiwa jijini Mbeya Rais Mstaafu wa JMT Jakaya Mrisho Kikwete aliulaumu uongozi wa Mkoa wa Mbeya kwa kutokuwa serious kwa kutoa eneo la ekari 50 juu Kwa ajiri ya kujenga Tawi la chuo kikuu cha Dsm.

Kusema kweli asante sana Rais Mstaafu Mhe Kikwete Kwa kuwaambia ukweli watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya wana sifa zifuatazo

1. Kujiona wana maendeleo wakati hawana lolote

2. Kujiona wanajua kila kitu wakati hakuna chochote wanachojua

Ukiwa hujafika Mbeya unaweza sema Mbeya ni jiji la kipekee sana Kwa namna watu wa Mkoa wanavyojiweka kwa wengine ila ukifika ndo utaona kumbe ni Mkoa wa hovyo kupindukia. Mbeya hawajali mipango miji, hawajui hata kujenga nyumba Nzuri za kisasa! Wanashindwa hata na Mkoa wa juzi Njombe. Mbeya imejaa uchafu sana na ujengaji wa nyumba wa hovyo kupindukia wanajifanya wana makanisa mengi kumbe wamejaa ushirikina kupindukia na hawapendi maendeleo ya wengine!

Nirudi kwenye Mada!
Tangu JK aongelee lile suala nilitegemea wabunge wa Mbeya watakuwa Wameshaitisha kikao na kujadili jinsi gani watapata ilo eneo la kuwapa Chuo kikuu cha Dsm.

Kwa wasiojua, uwepo wa Chuo kikuu kikubwa Kama UDSM sehemu, sio tu unahamasisha maendeleo, Ila unaleta chachu ya ukuaji wa kiuchumi na kifikra sehemu husika! Mikoa mingi shule na vyuo ndo vimewafanya hata waachane na Mila potofu na kujikita kwenye maendeleo

Leo hii ningekuwa Mbunge wa Mbeya, ningewakusanya wabunge wenzangu na tukaenda kwa Mkuu wa Mkoa kujadiliana nae kwa mapana sehemu gani tuitoe ili tujenge kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam
 
Heka 50 kwa taasisi inayotengemewa hata mimi sikubaliani nazo

Mipango ya uwekezaji kwa taasisi muhimu na adhimu kama hiyo lazima iangalie miaka 100 kuendelea sio miaka10 ijayo
Nilitegemea Tulia hadi leo angekuwa ameshaitisha kikao na wabunge wenzake kusimamia hili ila wapi!!

Ndo mana Mbeya ndo jiji pekee lisilo na double road na wabunge na wananchi wameridhika tu
 
Nilitegemea Tulia hadi leo angekuwa ameshaitisha kikao na wabunge wenzake kusimamia hili ila wapi!!

Ndo mana Mbeya ndo jiji pekee lisilo na double road na wabunge na wananchi wameridhika tu

Mbeya jiji lenye watu wengi, mali nyingi na uzalishaji mali wa juu kwenye sekta karibu zote lakinilakini maendeleo kidoooogo
 
Mbeya jiji lenye watu wengi, mali nyingi na uzalishaji mali wa juu kwenye sekta karibu zote lakinilakini maendeleo kidoooogo
Kazi ushirikina, majungu na kutopenda maendeleo ya wengine! Hawana Tofauti na watu wa Kagera

Ndo mana hawawezi wafikia watu wa Kilimanjaro hata siku moja! Kilimanjaro wao priority ni maendeleo
 
Mtoa mada umesahau kusema Mbeya walichokufanyia. Ninawasiwasi mtoa mada umeoa Mbeya kama hujaoa Mbeya basi kuna ndugu yako kaoa Mbeya na amebanwa haswa.

Binafsi nakupenda Mbeya kwasababu zifuatazo.
1. Mbeya kuna hali ya hewa nzuri ambayo hata mgeni kutoka ulaya lazima aipende.
2. Mbeya kuna vyakula vingi vitamu na vya kila aina na vya bei ndogo.
3. Mbeya kuna mazingira mazuri ya kusomea
4. Mbeya unakunywa maji ya kisima😋😋😋😋😋😋😋😋Mbeya unafulia maji ya kisima.
5. Mbeya ukiagiza chakula hotelini maji ya kunywa unamiminiwa kutoka kwenye majagi maalumu. Na hayo maji yanachotwa kwenye ndoo tu.

Japo naishi Dar ila huwa napenda sana ningeishi Mbeya. Dar kuna mbu sana mpaka kero nyieee, Dar unalala ndani ya chandarua. Dar maji ya kunywa ni shida, Dar maji ya kufulia ni shida, Dar maji ya kuoga ni shida.

Hii ndio imenipa akili ya kuanza mkakati wa kufungua kiwanda cha Kuchukua maji ya bahari ya Hindi na kuondoa chumvi, ili kupata maji safi na salama. Lakini pia kuna vimashine nitawauzia wakazi wa Dar es salaam waliochimba visima vyenye maji ya chumvi, vitakua vinatumia solar kutoa chumvi kwenye maji ya kisima. Sasa wakazi wataweza kupata maji ya kunywa, kufulia na kuoga majumbani mwao.
 
Tununuuu....

Twambomboo...

Mtuwache na mbeya Yetu.
IMG_20211202_185114.jpg
 
Akiwa jijini Mbeya Rais Mstaafu wa JMT Jakaya Mrisho Kikwete aliulaumu uongozi wa Mkoa wa Mbeya kwa kutokuwa serious kwa kutoa eneo la ekari 50 juu Kwa ajiri ya kujenga Tawi la chuo kikuu cha Dsm.

Kusema kweli asante sana Rais Mstaafu Mhe Kikwete Kwa kuwaambia ukweli watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya wana sifa zifuatazo

1. Kujiona wana maendeleo wakati hawana lolote

2. Kujiona wanajua kila kitu wakati hakuna chochote wanachojua

Ukiwa hujafika Mbeya unaweza sema Mbeya ni jiji la kipekee sana Kwa namna watu wa Mkoa wanavyojiweka kwa wengine ila ukifika ndo utaona kumbe ni Mkoa wa hovyo kupindukia. Mbeya hawajali mipango miji, hawajui hata kujenga nyumba Nzuri za kisasa! Wanashindwa hata na Mkoa wa juzi Njombe. Mbeya imejaa uchafu sana na ujengaji wa nyumba wa hovyo kupindukia wanajifanya wana makanisa mengi kumbe wamejaa ushirikina kupindukia na hawapendi maendeleo ya wengine!

Nirudi kwenye Mada!
Tangu JK aongelee lile suala nilitegemea wabunge wa Mbeya watakuwa Wameshaitisha kikao na kujadili jinsi gani watapata ilo eneo la kuwapa Chuo kikuu cha Dsm.

Kwa wasiojua, uwepo wa Chuo kikuu kikubwa Kama UDSM sehemu, sio tu unahamasisha maendeleo, Ila unaleta chachu ya ukuaji wa kiuchumi na kifikra sehemu husika! Mikoa mingi shule na vyuo ndo vimewafanya hata waachane na Mila potofu na kujikita kwenye maendeleo

Leo hii ningekuwa Mbunge wa Mbeya, ningewakusanya wabunge wenzangu na tukaenda kwa Mkuu wa Mkoa kujadiliana nae kwa mapana sehemu gani tuitoe ili tujenge kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam
Imbombo ngafu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada umesahau kusema Mbeya walichokufanyia. Ninawasiwasi mtoa mada umeoa Mbeya kama hujaoa Mbeya basi kuna ndugu yako kaoa Mbeya na amebanywa hasa.
Nilifanya kazi Mbeya kwenye mradi wa shirika moja hivi 2008-2012. Kusema kweli nilijifunza mengi sana kuhusu watu wa ule Mkoa na Tabia zao. Ni watu wenye kujikweza Ila hawana chochote
 
Wapewe ? Kwa nini wasinunue? Bila ya kubadilisha hii sera ya kijamaa kwamba ardhi haina thamani hatuwezi kuondokana na umaskini. Yaani mtu anatamka kabisa apewe ekari 500 wtf ?

Ni lazima ardhi yetu iwe na thamani, turuhusiwe kumiliki Ardhi ndiyo tutaondokana na umaskini na hatimaye kujikomboa kwangu mimi mtu anaposema apewe ardhi ina maana kuna ardhi haina mtu wala matumizi imekaa tu inasubiri kugawiwa mtu, tunaishi ujima bado.
 
Akiwa jijini Mbeya Rais Mstaafu wa JMT Jakaya Mrisho Kikwete aliulaumu uongozi wa Mkoa wa Mbeya kwa kutokuwa serious kwa kutoa eneo la ekari 50 juu Kwa ajiri ya kujenga Tawi la chuo kikuu cha Dsm.

Kusema kweli asante sana Rais Mstaafu Mhe Kikwete Kwa kuwaambia ukweli watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya wana sifa zifuatazo

1. Kujiona wana maendeleo wakati hawana lolote

2. Kujiona wanajua kila kitu wakati hakuna chochote wanachojua

Ukiwa hujafika Mbeya unaweza sema Mbeya ni jiji la kipekee sana Kwa namna watu wa Mkoa wanavyojiweka kwa wengine ila ukifika ndo utaona kumbe ni Mkoa wa hovyo kupindukia. Mbeya hawajali mipango miji, hawajui hata kujenga nyumba Nzuri za kisasa! Wanashindwa hata na Mkoa wa juzi Njombe. Mbeya imejaa uchafu sana na ujengaji wa nyumba wa hovyo kupindukia wanajifanya wana makanisa mengi kumbe wamejaa ushirikina kupindukia na hawapendi maendeleo ya wengine!

Nirudi kwenye Mada!
Tangu JK aongelee lile suala nilitegemea wabunge wa Mbeya watakuwa Wameshaitisha kikao na kujadili jinsi gani watapata ilo eneo la kuwapa Chuo kikuu cha Dsm.

Kwa wasiojua, uwepo wa Chuo kikuu kikubwa Kama UDSM sehemu, sio tu unahamasisha maendeleo, Ila unaleta chachu ya ukuaji wa kiuchumi na kifikra sehemu husika! Mikoa mingi shule na vyuo ndo vimewafanya hata waachane na Mila potofu na kujikita kwenye maendeleo

Leo hii ningekuwa Mbunge wa Mbeya, ningewakusanya wabunge wenzangu na tukaenda kwa Mkuu wa Mkoa kujadiliana nae kwa mapana sehemu gani tuitoe ili tujenge kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam
Uko bias na watu wa Mbeya.
 
Izo picha Mbona zinaweza tu kutengenezwa!

Kawafundisheni watu wenu namna gani ya kujenga bora na kupangilia miji yenu! Acheni pia ushirikina na kutopenda maendeleo ya wenzenu
Hivi kupanga mji wanapanga wakaazi wa asili au ni mamlaka husika ambazo zinasimamiwa na watu wanaotoka maeneo mbalimbali ya nchi? Nikisema Masaki imepangika, nakuwa nawapa sifa wakazi wa asili wa Dar es Salaam au mamlaka za kipindi hicho zilizopanga Masaki na kuhakisha ujenzi unafuata ramani zake? Nikisema Dodoma wana barabara nzuri za mitaa sifa iende kwa wagogo au mamlaka husika?
 
Hivi kupanga mji wanapanga wakaazi wa asili au ni mamlaka husika ambazo zinasimamiwa na watu wanaotoka maeneo mbalimbali ya nchi? Nikisema Masaki imepangika, nakuwa nawapa sifa wakazi wa asili wa Dar es Salaam au mamlaka za kipindi hicho zilizopanga Masaki na kuhakisha ujenzi unafuata ramani zake? Nikisema Dodoma wana barabara nzuri za mitaa sifa iende kwa wagogo au mamlaka husika?
Kilimanjaro kawapanga Nani?
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom