Baada ya Januari 20 kupita, TCRA yasema itakuwa inazima laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kwa awamu

who told you wameshindwa? paypal inafanya kazi tanzanaia? itunes je? we unadhan nan anahusika apa? mimi naona watanzania acha tuendelee kuonekana mapompo tu maaana hii ni aibu ata watu wanaokuja kutalii wakikutana na mada kama yako ni wanazimia tu! TCRA wana control rwanda, baadhi ya uganda na kuna plans za kufikisha mpaka zambia!
hakuna mtandao wa simu unaojiweza apa tanzania bila TCRA, yaani internet wanawauzia wao, centre fibres (mkongo) ni wao yaani uwaze mara mbili


watu hawajui ata TCRA ndo wanaowauzia internet mitandao ya simu yote Tanzania, na hizo nchi nmekutajia! ni aibu kubwa kwa tulipofikia mtu anakwambia TCRA imeshindwa kuzima jamiii forum, kaa ukijua kuna baadhi ya serikali afrika hua wakikutana na mada kama hizi hawazimi tu jamii forum bali wanazima internet nzima! nahisi hili likitokea mtawapa heshima kazi kubwa wnaofanya TCRA, ni kweli kwamba una uhuru wa kuongea kwa sababu internet unayo na ukadhan bila internet maisha yako hayatayumba!

fikiria mara mbili tu kabla hujaamua kutoa matamko yako, miaka ya nyuma kidogo google ilizima na asilimia 40% ya internet nzima ilipotea hapo ndo vichochea vya vita ya 3 ya dunia ilianza mpaka leo. fikiria mara mbili kabla hujaongea upuuzi tena
Watanzania ni hodari sana kubishania kitu cha kitaalamu iliyo nje ya taaluma yake. Shame onj us hii ni laana. Mimi kamwe siwezi kubishana na mtaalamu kwa eneo ambalo sijalisomea wala sina technological knowhow. Labda itokee wataalamu kwa wataalamu wao kwa wao wakibishana. Sisi tusio wataalamu tuulize maswali yakijibiwa turidhike kama bado uliza tena ila usibishane. Nenda kabishanie taaluma yako
 
Wamenifungia lakini bado Napata mawasiliano,...

Tusitishane kama watoto wadogo bana wewe mtu mwambie faida za kusajili akuelewe ila sio kutishana kama watoto, Mazingira yenyewe ya kusajili yamejaa rushwa rushwa tu inakulazimu uache shughuli zako kwa siku nzima et kupanga foleni kwa ajili ya likitambulisho,
Huu ni ulimwengu wa technolojia, na msifikiri mtaani wote ni vilaza mtazifungia lakini tutaendelea kuwasiliana kama kawaida.

Muda ni mali, mzingatie hilo.
 
Kubishana na popoma ni kupoteza muda hata wadau kutoka huko MNOs wanakushangaa tu humu.Hujui kitu.
Wewe ndo mpumbavu wa mwisho kabisa.Unazungumzia mkongo huu wa taifa uchafu kabisa.Mkongo wa taifa una nini cha kusema kuna teknolojia ya maana wakati mitambo na utaalamu wote uko kwa wazungu.Kwenye mitandao ya simu voda,tigo,halotel kote kwenye vitengo nyeti vya teknolojia wapo wageni sio wazawa unalijua hilo au unapoyola tu hapa
.Kubali tu kuwa kwenye teknolojia ya mawasiliano tuko nyuma na kunatakiwa improvement lakin huko kujitutumia kama nyoka la kibisa ndo unaturudisha nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom