Baada ya janga la korona, Watanzania watakuwa tayari kwa East African Federation

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Kama mnakumbuka vizuri, Watanzania tulionekana ni kikwazo katika kasi ya kuziunganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Ilisemwa kuwa Watanzania wana hofu na ardhi yao kukwapuliwa na wageni, kwamba ajira nyingi zitakwenda kwa Wakenya au hata tulikuwa na hofu na migogoro ya kikabila ya Rwanda. Mtanzania alikuwa akiwaza kuongozwa na Kagame au Museveni, nafsi yake ilikuwa inajaa hofu.

Janga la Korona limetengeneza uhalisia mpya katika fikra za Watanzania. Tunashuhudia Rwanda, Kenya na Uganda wakilikabili janga hili kwa ufanisi zaidi yetu pamoja na kwamba hapo mwanzo walipata changamoto za hapa na pale.

Ninachoona ni kuwa baada ya janga hili kuisha, vuguvugu kali la kisiasa nchini litawalazimisha CCM kukimbilia kuharakisha na kufufua mipango ya East African Federation na hiyo ndiyo inaweza kuwa pona yao, at least kwa muda.

Tegemea kuona mazungumzo ya kisiasa yakianza kutawaliwa na habari za East African Federation na habari za siasa za ndani kupewa nafasi ndogo. Hii inaweza kuwapunguzia ari kwa kiasi fulani vyama vya upinzani ila wakicheza karata zao vizuri bado watakuwa na nafasi nzuri ya kuendelea kuwa na impact.

Viongozi makini huwa wanatumia majanga na adui wa nje (adui wa kweli au wa kutunga) kurudisha imani ya watu kwao ambayo ilikiwa imeanza kupotea. Ni mbinu ambayo wabobezi wa mambo ya kiinteligensia wanaijua vizuri sana. Yoweri Museveni naona anafanya hivyo hadi amemfunika kabisa Bobby Wine. Bill Clinton alijaribu kufanya hivyo wakati wa skendo ya Monica Lewinsky alipoenda kumshambulia Osama bin Laden kule Sudan.

Rais Magufuli alikuwa na nafasi nzuri sana ya kulitumia hili janga kwa faida za kisiasa ila ndiyo hivyo tena, wote tunaona kinachotokea.

Tutegemee baada ya janga hili, hatua za fast track kwenda kwenye East African Federation.
 
🙄🙄
 

Attachments

  • 95674468_2860221380681034_8683504277064253440_o.jpg
    95674468_2860221380681034_8683504277064253440_o.jpg
    36.5 KB · Views: 1
Museveni atakubali Rais Magufuli awe Rais wa jumuiya ? Maana kwenye boks lazma m7 abwagwe
 
Museveni atakubali Rais Magufuli awe Rais wa jumuiya ? Maana kwenye boks lazma m7 abwagwe

Ametuangusha sana tunaomtetea kwa kututelekeza, inahitaji kujitoa ufahamu kweli kweli kutetea Jiwe.... what a coward kind of president..!!
 
..ni CONFEDERATION siyo federation.

..ila kibaya ni kwamba tumepoteza influence ktk eac, sadc, na ukanda wa maziwa makuu.

..awamu zilizopita Tz ilikuwa na ushawishi kutokana na kuongozwa na Maraisi wanaoheshimika ktk jumuiya ya kimataifa.

..miaka ya mwisho ya 90 Uganda na Rwanda waliingia ktk mgogoro wa kijeshi ndani ya DRC.

..katika kutafuta USULUHISHI viongozi wa Uganda na Rwanda walikuja Tz na Mzee Mkapa alisimamia mazungumzo yaliyofanyika Dodoma.

..mwaka huu mgogoro wa Uganda na Rwanda unasuluhishwa Raisi wa ANGOLA na hiyo haileti picha nzuri kwa Maraisi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

..Kwa hiyo kuhusu CONFEDERATION wenzetu wataongoza na sisi tutakuwa watu wa ku-catch up na kuburuzwa kwasababu tulichagua vibaya 2015.
 
..ni CONFEDERATION siyo federation.

..ila kibaya ni kwamba tumepoteza influence ktk eac, sadc, na ukanda wa maziwa makuu.

..awamu zilizopita Tz ilikuwa na ushawishi kutokana na kuongozwa na Maraisi wanaoheshimika ktk jumuiya ya kimataifa.

..miaka ya mwisho ya 90 Uganda na Rwanda waliingia ktk mgogoro wa kijeshi ndani ya DRC.

..katika kutafuta USULUHISHI viongozi wa Uganda na Rwanda walikuja Tz na Mzee Mkapa alisimamia mazungumzo yaliyofanyika Dodoma.

..mwaka huu mgogoro wa Uganda na Rwanda unasuluhishwa Raisi wa ANGOLA na hiyo haileti picha nzuri kwa Maraisi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

..Kwa hiyo kuhusu CONFEDERATION wenzetu wataongoza na sisi tutakuwa watu wa ku-catch up na kuburuzwa kwasababu tulichagua vibaya 2015.

Jambo la msingi ni kwamba ushawishi wetu wa kukomboa Afrika umeisha, sasa ni kukomboa Maisha ya Mtanzania na JPM ameonyesha njia. Tutafika tu kwa sababu Tanzania huwa haishindwi kitu chochote hapa duniani.
 
Jambo la msingi ni kwamba ushawishi wetu wa kukomboa Afrika umeisha, sasa ni kukomboa Maisha ya Mtanzania na JPM ameonyesha njia. Tutafika tu kwa sababu Tanzania huwa haishindwi kitu chochote hapa duniani.

..ni kweli.

..lakini hata kukomboa maisha ya waTz ni jambo ambalo limemshinda Jpm.

..tatizo la Jpm, na wanaomuunga mkono, ni kuamini kwamba waTz wanahitaji " mkombozi " au " kukombolewa" badala ya KUJIKOMBOA.

..waTz tunatakiwa kujikomboa na kuwaongoza waAfrika wenzetu ktk harakati zao za kujikomboa.
 
..ni kweli.

..lakini hata kukomboa maisha ya waTz ni jambo ambalo limemshinda Jpm.

..tatizo la Jpm, na wanaomuunga mkono, ni kuamini kwamba waTz wanahitaji " mkombozi " au " kukombolewa" badala ya KUJIKOMBOA.

Unapimaje kushindwa kwa JPM wakati hata miaka mitano hajamaliza? Je, unasemaje kuhusu kuondoa rushwa ambayo hata mabeberu wanamkubali? Je, unasemaje kuhusu Madini ya Tanzanite kutoka mapato ya millioni 166 kwa mwaka hadi hivi sasa tunapoongea Billion 2.9? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Geita (Gold) kutoka millioni 20 hadi kufika Billioni 239? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Gold yaliyokua kilo 500 kwa mwaka hadi kufikia tani 3?

Je, unasemaje huhusu vifo vya Watanzania 17 kila siku (malaria) na sasa ni vifo 7 tu? Je, unasemaje huhusu kufufua reli ya kwenda Moshi, Arusha na Tanga?

Bila kupepesa macho miradi ya Bwawa la umeme (Nyerere dam) kuwa na umeme wa uhakika na kuuza mwingine kwa nchi majirani nk, Mradi wa SGR? Achila mbali Hospitali za mikoa wilaya nk? Wakati mwingine tuwe wakweli JPM kafunika ameweza katika kipindi kifupi kuwezesha mapato ya Watanzania kuinua standard ya maisha ya Watanzania. Kama hilo huoni huwezi kuona tena maishani mwako hata wale mabeberu hawapendi yanayotokea Tanzania kwa sababu Ukombozi wa kiuchumi wa Afrika umeanza tena Tanzania.

BTW uliza hata majirani zetu kaskazini wana wasi wasi mkubwa, The Giant of East Africa has risen .... .... . Ding Dong. Na bado hizi ni rasha rasha tu JPM anapumnzika kidogo pale Chato huku akiwa kazini akirudi tu utaona speed itakavyokuwa kali. You will love what is happening in Tanzania, if you were privileged to know what is happening around the world.

BTW hivi unafahamu Stamico ambayo ilitelekezwa na kuwa chaka hivi sasa ni shirika linalojitambua? Angalia Tanesco.
 
Kama mnakumbuka vizuri, Watanzania tulionekana ni kikwazo katika kasi ya kuziunganisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Ilisemwa kuwa Watanzania wana hofu na ardhi yao kukwapuliwa na wageni, kwamba ajira nyingi zitakwenda kwa Wakenya au hata tulikuwa na hofu na migogoro ya kikabila ya Rwanda. Mtanzania alikuwa akiwaza kuongozwa na Kagame au Museveni, nafsi yake ilikuwa inajaa hofu.

Janga la Korona limetengeneza uhalisia mpya katika fikra za Watanzania. Tunashuhudia Rwanda, Kenya na Uganda wakilikabili janga hili kwa ufanisi zaidi yetu pamoja na kwamba hapo mwanzo walipata changamoto za hapa na pale.

Ninachoona ni kuwa baada ya janga hili kuisha, vuguvugu kali la kisiasa nchini litawalazimisha CCM kukimbilia kuharakisha na kufufua mipango ya East African Federation na hiyo ndiyo inaweza kuwa pona yao, at least kwa muda.

Tegemea kuona mazungumzo ya kisiasa yakianza kutawaliwa na habari za East African Federation na habari za siasa za ndani kupewa nafasi ndogo. Hii inaweza kuwapunguzia ari kwa kiasi fulani vyama vya upinzani ila wakicheza karata zao vizuri bado watakuwa na nafasi nzuri ya kuendelea kuwa na impact.

Viongozi makini huwa wanatumia majanga na adui wa nje (adui wa kweli au wa kutunga) kurudisha imani ya watu kwao ambayo ilikiwa imeanza kupotea. Ni mbinu ambayo wabobezi wa mambo ya kiinteligensia wanaijua vizuri sana. Yoweri Museveni naona anafanya hivyo hadi amemfunika kabisa Bobby Wine. Bill Clinton alijaribu kufanya hivyo wakati wa skendo ya Monica Lewinsky alipoenda kumshambulia Osama bin Laden kule Sudan.

Rais Magufuli alikuwa na nafasi nzuri sana ya kulitumia hili janga kwa faida za kisiasa ila ndiyo hivyo tena, wote tunaona kinachotokea.

Tutegemee baada ya janga hili, hatua za fast track kwenda kwenye East African Federation.

Ninachojua tu ni kwamba hivi sasa Marais Museveni, Kagame na Kenyatta wanamshangaa mno Mwenzao Mmoja Bedui sana.
 
Magu ataingia kwenye guness book of records. Nadhani ni rais wakwnza duniani kuongoza nchi from his private home kwa kuogopa janga.
Wacha fitina zako, huo ndio umbeya wenyewe. JF haitakiwi kuwa kisima cha majungu. Mkuu tuletee hoja kama Chato anapiga kazi tatizo lipo wapi? Wewe si unafahamu rais anaweza kuwa popote pale na anafanya kazi kama kawa? Tuache wivu wa kike!
 
Unapimaje kushindwa kwa JPM wakati hata miaka mitano hajamaliza? Je, unasemaje kuhusu kuondoa rushwa ambayo hata mabeberu wanamkubali? Je, unasemaje kuhusu Madini ya Tanzanite kutoka mapato ya millioni 166 kwa mwaka hadi hivi sasa tunapoongea Billion 2.9? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Geita (Gold) kutoka millioni 20 hadi kufika Billioni 239? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Gold yaliyokua kilo 500 kwa mwaka hadi kufikia tani 3?

Je, unasemaje huhusu vifo vya Watanzania 17 kila siku (malaria) na sasa ni vifo 7 tu? Je, unasemaje huhusu kufufua reli ya kwenda Moshi, Arusha na Tanga?

Bila kupepesa macho miradi ya Bwawa la umeme (Nyerere dam) kuwa na umeme wa uhakika na kuuza mwingine kwa nchi majirani nk, Mradi wa SGR? Achila mbali Hospitali za mikoa wilaya nk? Wakati mwingine tuwe wakweli JPM kafunika ameweza katika kipindi kifupi kuwezesha mapato ya Watanzania kuinua standard ya maisha ya Watanzania. Kama hilo huoni huwezi kuona tena maishani mwako hata wale mabeberu hawapendi yanayotokea Tanzania kwa sababu Ukombozi wa kiuchumi wa Afrika umeanza tena Tanzania.

BTW uliza hata majirani zetu kaskazini wana wasi wasi mkubwa, The Giant of East Africa has risen .... .... . Ding Dong. Na bado hizi ni rasha rasha tu JPM anapumnzika kidogo pale Chato huku akiwa kazini akirudi tu utaona speed itakavyokuwa kali. You will love what is happening in Tanzania, if you were privileged to know what is happening around the world.

BTW hivi unafahamu Stamico ambayo ilitelekezwa na kuwa chaka hivi sasa ni shirika linalojitambua? Angalia Tanesco.

..huu ni mwaka 4 na tunaelekea wa 5.

..kipindi hicho kinatosha kuona kama Jpm amefanya vizuri au vibaya ktk kipindi alichokuwa madarakani.

..kwa maoni yangu, hali ya kiuchumi ya waTz imekuwa ngumu zaidi tangu Jpm aingie madarakani.

..sera za kiuchumi za serikali ya Jpm zimelenga zaidi ktk vitu, badala ya watu.

..Pamoja na serikali kukusanya mapato mengi zaidi, lakini ongezeko hilo haliko-reflected ktk kukua kwa mapato ya waTz ambao ndio walipa kodi.

..Sekta ambazo zinagusa maisha ya waTz walio wengi zimesahaulika na kupuuzwa ktk kipindi hiki cha uongozi wa awamu ya 5.

..Awamu zote za uongozi za nchi hii zilijenga miundombinu. Hakuna project ya infrastructure ambayo Jpm itaibua ambao haikupata kuwepo ktk awamu zilizopita.

Nyerere alijenga reli na viwanda. Mwinyi alijenga miradi ya umeme. Mkapa na JK walijenga barabara na madaraja.

..Kitu ambacho kimekosekana ktk nchi yetu, ni serikali zote kutokuwekeza kwa namna ambayo maisha ya waTz wengi watainuliwa kimaisha / kimapato na kuwawezesha kujitegemea zaidi na kulipa kodi zaidi.

..Jpm ni kiongozi anayeweza kuleta maendeleo ya vitu peke yake.

..Watz wanahitaji kiongozi atakayeleta maendeleo ya vitu, maendeleo ya watu, atakayesimika mifumo ya utawala bora na utoaji wa haki, na atakayedumisha upendo na mshikamano wa waTz.
 
Unapimaje kushindwa kwa JPM wakati hata miaka mitano hajamaliza? Je, unasemaje kuhusu kuondoa rushwa ambayo hata mabeberu wanamkubali? Je, unasemaje kuhusu Madini ya Tanzanite kutoka mapato ya millioni 166 kwa mwaka hadi hivi sasa tunapoongea Billion 2.9? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Geita (Gold) kutoka millioni 20 hadi kufika Billioni 239? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Gold yaliyokua kilo 500 kwa mwaka hadi kufikia tani 3?

Je, unasemaje huhusu vifo vya Watanzania 17 kila siku (malaria) na sasa ni vifo 7 tu? Je, unasemaje huhusu kufufua reli ya kwenda Moshi, Arusha na Tanga?

Bila kupepesa macho miradi ya Bwawa la umeme (Nyerere dam) kuwa na umeme wa uhakika na kuuza mwingine kwa nchi majirani nk, Mradi wa SGR? Achila mbali Hospitali za mikoa wilaya nk? Wakati mwingine tuwe wakweli JPM kafunika ameweza katika kipindi kifupi kuwezesha mapato ya Watanzania kuinua standard ya maisha ya Watanzania. Kama hilo huoni huwezi kuona tena maishani mwako hata wale mabeberu hawapendi yanayotokea Tanzania kwa sababu Ukombozi wa kiuchumi wa Afrika umeanza tena Tanzania.

BTW uliza hata majirani zetu kaskazini wana wasi wasi mkubwa, The Giant of East Africa has risen .... .... . Ding Dong. Na bado hizi ni rasha rasha tu JPM anapumnzika kidogo pale Chato huku akiwa kazini akirudi tu utaona speed itakavyokuwa kali. You will love what is happening in Tanzania, if you were privileged to know what is happening around the world.

BTW hivi unafahamu Stamico ambayo ilitelekezwa na kuwa chaka hivi sasa ni shirika linalojitambua? Angalia Tanesco.
Rubish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magu ataingia kwenye guness book of records. Nadhani ni rais wakwnza duniani kuongoza nchi from his private home kwa kuogopa janga.
Yuko rais wa Cameroon Paul Biya yeye miaka yote hua anaongoza nchi kutoka Uswisi mpk Uswisi yenyewe haimtaki sasa anataka kuhamia Ufaransa(aongoze nchi kutokea huko),kuna kipindi hua anakaa hata miaka 2 hajaitisha baraza lake la mawaziri.
 
..huu ni mwaka 4 na tunaelekea wa 5.
..kipindi hicho kinatosha kuona kama Jpm amefanya vizuri au vibaya ktk kipindi alichokuwa madarakani.
Sasa huko kufanikiwa ni kwako binafsi au katika nchi nzima? Taarifa ambazo watu wengi Watanzania wanamfagilia JPM kuliko marais waliomfuata JKN wote.
kwa maoni yangu, hali ya kiuchumi ya waTz imekuwa ngumu zaidi tangu Jpm aingie madarakani.
Watanzania wengi waliokuwa wamezoea pesa za kupiga ndio wanalialia lakini wengi wanamsifia kwamba anafanya kazi nzuri hata GDP ya Tanzania inanyemelea mataifa mengini hapa Afrika.
..sera za kiuchumi za serikali ya Jpm zimelenga zaidi ktk vitu, badala ya watu.
Vitu ndivyo vitawawezesha Watanzania kusafiri na kufanya mambo mengi kwa muda mfupi na kukuza maendeleo ya watu katika ubora wa Maisha nk.
..Pamoja na serikali kukusanya mapato mengi zaidi, lakini ongezeko hilo haliko-reflected ktk kukua kwa mapato ya waTz ambao ndio walipa kodi
Hayo mapato ndiyo yamewezesha kupungua kwa vifo ambavyo havikuwa na ulazima wowote kutokea. Zile safari za kwenda kutibiwa India ndio mwisho sasa sijui ulitaka tuendelee kuwa watumwa wa wahindi au vipi? Ukiumwa leo unatibiwa Muhimbili au Mloganzira etc.
.Sekta ambazo zinagusa maisha ya waTz walio wengi zimesahaulika na kupuuzwa ktk kipindi hiki cha uongozi wa awamu ya 5.
Sekta ipi mkuu iiyosahaulika?
.
.Awamu zote za uongozi za nchi hii zilijenga miundombinu. Hakuna project ya infrastructure ambayo Jpm itaibua ambao haikupata kuwepo ktk awamu zilizopita.
Je, walifanikiwa vipi? Weka hapa ushahidi.
Nyerere alijenga reli na viwanda. Mwinyi alijenga miradi ya umeme. Mkapa na JK walijenga barabara na madaraja.
Mkuu Mwinyi Mzee wa Rukhsa mradi upi wa umeme alijenga? Nikumbushe. Mkapa anafahamika kwa kuuza viwanda mashirika yote ya umma pamoja na kufilisi ATC kwa kuwapa SA pamoja na Tanesco, wengi tutamkumbuka kwa hayo ambayo yalirudisha nyuma kazi aliyofanya JKN.
..Kitu ambacho kimekosekana ktk nchi yetu, ni serikali zote kutokuwekeza kwa namna ambayo maisha ya waTz wengi watainuliwa kimaisha / kimapato na kuwawezesha kujitegemea zaidi na kulipa kodi zaidi.

..Jpm ni kiongozi anayeweza kuleta maendeleo ya vitu peke yake.
Mkuu JPM kiongozi jasiri kila Mtanzania anayejielewa analifahamu hilo, Atakapoondoka JPM madarakani muda wake ukifika mtamkumbuka. Kama Tanzania haitaendelea wakati wake mimi nitahama nchi
..Watz wanahitaji kiongozi atakayeleta maendeleo ya vitu, maendeleo ya watu, atakayesimika mifumo ya utawala bora na utoaji wa haki, na atakayedumisha upendo na mshikamano wa waTz.
Mkuu naona unajichanganya soma hapo juu ulivyoandika kuhusu vitu which is which?
 
Sasa huko kufanikiwa ni kwako binafsi au katika nchi nzima? Taarifa ambazo watu wengi Watanzania wanamfagilia JPM kuliko marais waliomfuata JKN wote.

Watanzania wengi waliokuwa wamezoea pesa za kupiga ndio wanalialia lakini wengi wanamsifia kwamba anafanya kazi nzuri hata GDP ya Tanzania inanyemelea mataifa mengini hapa Afrika.

Vitu ndivyo vitawawezesha Watanzania kusafiri na kufanya mambo mengi kwa muda mfupi na kukuza maendeleo ya watu katika ubora wa Maisha nk.

Hayo mapato ndiyo yamewezesha kupungua kwa vifo ambavyo havikuwa na ulazima wowote kutokea. Zile safari za kwenda kutibiwa India ndio mwisho sasa sijui ulitaka tuendelee kuwa watumwa wa wahindi au vipi? Ukiumwa leo unatibiwa Muhimbili au Mloganzira etc.

Sekta ipi mkuu iiyosahaulika?
.
Je, walifanikiwa vipi? Weka hapa ushahidi.

Mkuu Mwinyi Mzee wa Rukhsa mradi upi wa umeme alijenga? Nikumbushe. Mkapa anafahamika kwa kuuza viwanda mashirika yote ya umma pamoja na kufilisi ATC kwa kuwapa SA pamoja na Tanesco, wengi tutamkumbuka kwa hayo ambayo yalirudisha nyuma kazi aliyofanya JKN.



Mkuu JPM kiongozi jasiri kila Mtanzania anayejielewa analifahamu hilo, Atakapoondoka JPM madarakani muda wake ukifika mtamkumbuka. Kama Tanzania haitaendelea wakati wake mimi nitahama nchi

Mkuu naona unajichanganya soma hapo juu ulivyoandika kuhusu vitu which is which?

..reli ya Tazara ilijengwa wakati wa Mwalimu Nyerere.

..miradi ya umeme ya kidatu na mtera ilijengwa na Mwalimu Nyerere.

..mradi wa umeme wa Pangani ulijengwa na Mzee Mwinyi.

..mradi wa Kihansi ulianza na Mzee Mwinyi ukaisha wakati wa Mzee Mkapa.

..tatizo ni kwamba Jpm ameweza kuwachota akili uvccm kiasi kwamba mnaamini yeye ndiye Raisi wa kwanza kujenga reli na mradi wa umeme wa maji nchi hii.

NB:

..mengine ambayo sikuyajibu ktk post yako nadhani ni vema ukabaki na msimamo wako, na mimi nikabaki na msimamo wangu.
 
Unapimaje kushindwa kwa JPM wakati hata miaka mitano hajamaliza? Je, unasemaje kuhusu kuondoa rushwa ambayo hata mabeberu wanamkubali? Je, unasemaje kuhusu Madini ya Tanzanite kutoka mapato ya millioni 166 kwa mwaka hadi hivi sasa tunapoongea Billion 2.9? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Geita (Gold) kutoka millioni 20 hadi kufika Billioni 239? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Gold yaliyokua kilo 500 kwa mwaka hadi kufikia tani 3?

Je, unasemaje huhusu vifo vya Watanzania 17 kila siku (malaria) na sasa ni vifo 7 tu? Je, unasemaje huhusu kufufua reli ya kwenda Moshi, Arusha na Tanga?

Bila kupepesa macho miradi ya Bwawa la umeme (Nyerere dam) kuwa na umeme wa uhakika na kuuza mwingine kwa nchi majirani nk, Mradi wa SGR? Achila mbali Hospitali za mikoa wilaya nk? Wakati mwingine tuwe wakweli JPM kafunika ameweza katika kipindi kifupi kuwezesha mapato ya Watanzania kuinua standard ya maisha ya Watanzania. Kama hilo huoni huwezi kuona tena maishani mwako hata wale mabeberu hawapendi yanayotokea Tanzania kwa sababu Ukombozi wa kiuchumi wa Afrika umeanza tena Tanzania.

BTW uliza hata majirani zetu kaskazini wana wasi wasi mkubwa, The Giant of East Africa has risen .... .... . Ding Dong. Na bado hizi ni rasha rasha tu JPM anapumnzika kidogo pale Chato huku akiwa kazini akirudi tu utaona speed itakavyokuwa kali. You will love what is happening in Tanzania, if you were privileged to know what is happening around the world.

BTW hivi unafahamu Stamico ambayo ilitelekezwa na kuwa chaka hivi sasa ni shirika linalojitambua? Angalia Tanesco.
Mkuu unajua kuimba ..kumbe ndiyo maana makato ya HESLB yalitoka aslimia 8% mpaka 15%,kumbe ndiyo maana ajira zimekua ngumu nk
 
Wewe ni mpumbavu
Unapimaje kushindwa kwa JPM wakati hata miaka mitano hajamaliza? Je, unasemaje kuhusu kuondoa rushwa ambayo hata mabeberu wanamkubali? Je, unasemaje kuhusu Madini ya Tanzanite kutoka mapato ya millioni 166 kwa mwaka hadi hivi sasa tunapoongea Billion 2.9? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Geita (Gold) kutoka millioni 20 hadi kufika Billioni 239? Je, unasemaje kuhusu mapato ya Gold yaliyokua kilo 500 kwa mwaka hadi kufikia tani 3?

Je, unasemaje huhusu vifo vya Watanzania 17 kila siku (malaria) na sasa ni vifo 7 tu? Je, unasemaje huhusu kufufua reli ya kwenda Moshi, Arusha na Tanga?

Bila kupepesa macho miradi ya Bwawa la umeme (Nyerere dam) kuwa na umeme wa uhakika na kuuza mwingine kwa nchi majirani nk, Mradi wa SGR? Achila mbali Hospitali za mikoa wilaya nk? Wakati mwingine tuwe wakweli JPM kafunika ameweza katika kipindi kifupi kuwezesha mapato ya Watanzania kuinua standard ya maisha ya Watanzania. Kama hilo huoni huwezi kuona tena maishani mwako hata wale mabeberu hawapendi yanayotokea Tanzania kwa sababu Ukombozi wa kiuchumi wa Afrika umeanza tena Tanzania.

BTW uliza hata majirani zetu kaskazini wana wasi wasi mkubwa, The Giant of East Africa has risen .... .... . Ding Dong. Na bado hizi ni rasha rasha tu JPM anapumnzika kidogo pale Chato huku akiwa kazini akirudi tu utaona speed itakavyokuwa kali. You will love what is happening in Tanzania, if you were privileged to know what is happening around the world.

BTW hivi unafahamu Stamico ambayo ilitelekezwa na kuwa chaka hivi sasa ni shirika linalojitambua? Angalia Tanesco.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom