Huyu ndio alianza halafu jaffo akafuatia , namba 3 inagombewa kati ya Kabudi na lugola
Fuatilia safu ya viongozi wa Bavicha ujue nje ya siasa wako taasisi ipi ya kimataifaWewe utajiri wako Kwanini hujawasaidia Bavicha, wanahangaika
Jibu hoja zake acha kejeli."ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa,kudos dogo Kheri piga kote kote.Hizi ni Pelepete tupu
Hivi mmensikiliza vizuri? Mnamuonea bureHuyu ndio alianza halafu jaffo akafuatia , namba 3 inagombewa kati ya Kabudi na lugola
Huyu kijana ni nani? He is a leaderJibu hoja zake acha kejeli."ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa,kudos dogo Kheri piga kote kote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pelepete nyingi watu haawana maji mashule hayana madarasa
Hizi ni siasa za kizamani kuongea kwingi wakati wananchi wanachindia muhogo mkavu
Halafu Lugola anayedanganya kila siku eti jana anamdanganya Magufuli kwa kunukuu kifungu cha Biblia, kisha hapo hapo anajigeuza mungu wa kumlinda!!!Huyu ndio alianza halafu jaffo akafuatia , namba 3 inagombewa kati ya Kabudi na lugola
Huyu hapaHalafu Lugola anayedanganya kila siku eti jana anamdanganya Magufuli kwa kunukuu kifungu cha Biblia, kisha hapo hapo anajigeuza mungu wa kumlinda!!!
Huyu ndio alianza halafu jaffo akafuatia , namba 3 inagombewa kati ya Kabudi na lugola