Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kuna binti alitumia dawa za misoprostol kwa ujauzito wa siku 25,but kutokana na maelezo yake nikagundua bado inshu haijatoka yote
Akapelekwa medical na kusafishwa (Manual Vacuum Aspiration) akapewa na antibiotics akarudi home
Sasa nauliza baada ya kufanyiwa hii procedure nini kitafuata na wakati gani atakua fresh kabisa na mzunguko wake wa hedhi kuanza tena???
Akapelekwa medical na kusafishwa (Manual Vacuum Aspiration) akapewa na antibiotics akarudi home
Sasa nauliza baada ya kufanyiwa hii procedure nini kitafuata na wakati gani atakua fresh kabisa na mzunguko wake wa hedhi kuanza tena???