Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Niajee wadau, baada ya husle zangu za hapa na pale kutoonesha matunda mazuri kutokana na kuwa connection hafifu nimekuja na plan hii..
Nataka niingie CCM, niwe mwanachama kindaki ndaki wa CCM yaani mpaka nitengeneze connection kwa ajili ya fursa nizitarajiazo.
Je kwa wazoefu is this working? Nitumie mbinu gani za kujipendekeza n.k ilimradi mambo yangu yakae sawaa? Nipate hata vitenda vidogo vidogo na ajira za mgongo wa chama zisinipige chengaa..
Tushushe maoni wadau..
Nataka niingie CCM, niwe mwanachama kindaki ndaki wa CCM yaani mpaka nitengeneze connection kwa ajili ya fursa nizitarajiazo.
Je kwa wazoefu is this working? Nitumie mbinu gani za kujipendekeza n.k ilimradi mambo yangu yakae sawaa? Nipate hata vitenda vidogo vidogo na ajira za mgongo wa chama zisinipige chengaa..
Tushushe maoni wadau..