Lager
JF-Expert Member
- Mar 4, 2019
- 389
- 1,071
Ndio mimi nilieleta uzi humu ya kuwa nilimuacha lkn hisia juu yake zikiwa bado ni kali sana
Nilijutia kumuacha na nikaona ya nini niumie angali badonampenda!, nimemrudia na mapenzi hivi Sasa ni motomoto. Nimeamua nimkubali hivyo alivyo hisia za kumpenda huyu manzi ni kali sana kumuacha ni sawa na kujitia dosari mwenyewe
Nilichojifunza kwenye mapenzi kabla hujafikia uamuzi wa kumuacha mpenzio jiulize kwanza utaweza kuhimili hisia? Au ndo kabla ya kuruka uagane na nyonga
Kingine usijaribu kuacha unachokipenda bali ishi nacho kwa akili fata unachotaka kwa akili mengine yapo tu. Mwisho kiasi cha utamu wa mapenzi ulichonacho ndo hichohicho kiasi cha maumivu ulichonacho kama mambo yataenda kombo
Niwatakie siku njema ila kupanga ni kuchagua.
Soma mada iliyotangulia: Usijaribu kuacha usichoweza kukiacha, mapenzi yanauma
Nilijutia kumuacha na nikaona ya nini niumie angali badonampenda!, nimemrudia na mapenzi hivi Sasa ni motomoto. Nimeamua nimkubali hivyo alivyo hisia za kumpenda huyu manzi ni kali sana kumuacha ni sawa na kujitia dosari mwenyewe
Nilichojifunza kwenye mapenzi kabla hujafikia uamuzi wa kumuacha mpenzio jiulize kwanza utaweza kuhimili hisia? Au ndo kabla ya kuruka uagane na nyonga
Kingine usijaribu kuacha unachokipenda bali ishi nacho kwa akili fata unachotaka kwa akili mengine yapo tu. Mwisho kiasi cha utamu wa mapenzi ulichonacho ndo hichohicho kiasi cha maumivu ulichonacho kama mambo yataenda kombo
Niwatakie siku njema ila kupanga ni kuchagua.
Soma mada iliyotangulia: Usijaribu kuacha usichoweza kukiacha, mapenzi yanauma