MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,425
Baada ya hii picha kupigwa kisha bulldoza likaingia,Tanzania haijawahi kuwa the same again.
I think maana yake ni kwamba hyo ni picha ya mwisho kupigwa kabla jk hajaachia kiti,baada ya hyo picha tu ndo akakabidhi ofisi binafsi ya rais(obr)Sijaelewa
Tulia dawa ikuingie.Sijaelewa
Rugemalila ,seth sigh, Jamal malinzi kaburu na wengine wengi wanastakiwa huko wewe uko nchi ganiacha utoto mkuu, mahakama ya mafisadi ipo haina kesi hata moja inakuwaje wakose usingizi na hawajawahi pelekwa huko.
mafisadi wako ccm na yuko nao na hana uwezo wa kufanya wakose usingizi
Hapo nimeelewa kiongoziI think maana yake ni kwamba hyo ni picha ya mwisho kupigwa kabla jk hajaachia kiti,baada ya hyo picha tu ndo akakabidhi ofisi binafsi ya rais(obr)
hahahahahahahaha jamali malinzi na kaburu nao mafisadi hahahahaahhaRugemalila ,seth sigh, Jamal malinzi kaburu na wengine wengi wanastakiwa huko wewe uko nchi gani
Wamefungwa?Rugemalila ,seth sigh, Jamal malinzi kaburu na wengine wengi wanastakiwa huko wewe uko nchi gani
true...wamempiga ngwala!acha utoto mkuu, mahakama ya mafisadi ipo haina kesi hata moja inakuwaje wakose usingizi na hawajawahi pelekwa huko.
mafisadi wako ccm na yuko nao na hana uwezo wa kufanya wakose usingizi
kushtakiwa hata ww unaweza kushtakiwa tatizo ni kukutwa na hatia??Rugemalila ,seth sigh, Jamal malinzi kaburu na wengine wengi wanastakiwa huko wewe uko nchi gani
Mafisadi ni hao tu?Rugemalila ,seth sigh, Jamal malinzi kaburu na wengine wengi wanastakiwa huko wewe uko nchi gani
Tulia dawa ikuingie.
Mkumbuke na kunywa dawa!
Kama toto vile eti milion ya mbogahahahahahahahaha jamali malinzi na kaburu nao mafisadi hahahahaahha
lugemalila bila waliopata milioni za mboga hakuna kesi hapo mkuu