MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Unaweza ukawaminya watu kwa namna yoyote upendayo, unaweza ukawaziba midomo kwa namna upendavyo lakini ni vigumu kuwadhibiti kuonyesha hisia zao.
Huko Mara tumeona wananchi wakisisimkwa kwa hoja zisizo na kujipendekeza kutoka kwa HECHE.
Baada ya muda naambiwa Lema atalipuka Arusha kwa kuweka vocha then atamvoice call Mbowe ambaye atapiga kwa Watanzania akitokea hai.
Wakati huo huko Morogoro na Mbeya wataendelea kutuma text kwa wananchi hii ikiwa ni ratiba fupi ya kupima Kama chama kinakubalika au kimepoteza mvuto.
Itafahamika TU....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Mara tumeona wananchi wakisisimkwa kwa hoja zisizo na kujipendekeza kutoka kwa HECHE.
Baada ya muda naambiwa Lema atalipuka Arusha kwa kuweka vocha then atamvoice call Mbowe ambaye atapiga kwa Watanzania akitokea hai.
Wakati huo huko Morogoro na Mbeya wataendelea kutuma text kwa wananchi hii ikiwa ni ratiba fupi ya kupima Kama chama kinakubalika au kimepoteza mvuto.
Itafahamika TU....
Sent using Jamii Forums mobile app