Baada ya hayati Magufuli kuzikwa, Halmashauri ya Handeni wapandisha ushuru wa mifugo, wafugaji wamlilia Rais Samia awasaidie

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,914
141,866
Ikiwa ni siku moja tu baada ya hayati Magufuli kuzikwa halmashauri ya wilaya ya Handeni imepandisha ushuru wa mauzo ya mifugo mnadani kuwa sh 3000 kwa mfugo mmoja iwe umeuza au haujauza ilmradi tu umefika mnadani.

Wafugaji wameiona hiyo ni kama hujuma kwa Rais mpya hivyo wamemuomba Rais Samia ambaye alipita hapo Handeni akiwa makamu wa Rais awasaidie.

Chanzo: ITV habari

RIP Magufuli!
 
Matatizo ya 1 man show, bila mfumo thabiti na imara...kwa hilo mwendazake atakumbukwa!

Na bado tutaenda mahospitalini, polisi, n.k

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Aiseee hiii inchi daah, yaani baada ya Magu kuondoka tu mavibaka yametoka vichakani na yameanza unyang'anyi. Baada ya miezi 6 tu namba itakuwa imesomeka vzr.
 
Ikiwa ni siku moja tu baada ya hayati Magufuli kuzikwa halmashauri ya wilaya ya Handeni imepandisha ushuru wa mauzo ya mifugo mnadani kuwa sh 3000 kwa mfugo mmoja iwe umeuza au haujauza ilmradi tu umefika mnadani.

Wafugaji wameiona hiyo ni kama hujuma kwa Rais mpya hivyo wamemuomba Rais Samia ambaye alipita hapo Handeni akiwa makamu wa Rais awasaidie.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Wew si ndo mtukanaj namba moja usiempenda jiwe..sasa unalia lia nin hapa....

Jamaa mnafki sana wew.
 
Ikiwa ni siku moja tu baada ya hayati Magufuli kuzikwa halmashauri ya wilaya ya Handeni imepandisha ushuru wa mauzo ya mifugo mnadani kuwa sh 3000 kwa mfugo mmoja iwe umeuza au haujauza ilmradi tu umefika mnadani.

Wafugaji wameiona hiyo ni kama hujuma kwa Rais mpya hivyo wamemuomba Rais Samia ambaye alipita hapo Handeni akiwa makamu wa Rais awasaidie.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Samahan mtoa mada..ni technical mistake..nilikuchanganya na jamaa flan hiv asiempenda jemedari wetu

Sorry
 
Mnanda wa Misungwi Mwanza tozo ni 7000/= per cow. Waambie waache kulia lia.
Hakuna uniformity, kwamba tozo ya aina moja minada yote?? Au kila halmashauri inajipangia tu, kadri madiwani waonavyo??

Kama wapo wanaolipa 7,000 hawa wanaolipa 3,000 wakae kimya maana wanaweza kuamsha mengine.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Inashangaza sana hadi mambo ya minada mpaka Rais aingilie kati.

Tuna mfumo mbovu sana nchi hii.
 
Ikiwa ni siku moja tu baada ya hayati Magufuli kuzikwa halmashauri ya wilaya ya Handeni imepandisha ushuru wa mauzo ya mifugo mnadani kuwa sh 3000 kwa mfugo mmoja iwe umeuza au haujauza ilmradi tu umefika mnadani.

Wafugaji wameiona hiyo ni kama hujuma kwa Rais mpya hivyo wamemuomba Rais Samia ambaye alipita hapo Handeni akiwa makamu wa Rais awasaidie.

Source ITV habari

RIP Magufuli!
Ni ushuru wa mauzo ya mifugo? Au ni ushuru wa kuingiza mfugo mnadani? Ng'ombe aliyeshiba anafika mpaka laki 8 mpaka mil 1. Kuna ubaya kulipia 3000? Au ndio unataka kuonyesha bila hayati JPM mambo hayaendi?
 
Back
Top Bottom