Si unajua hawara Hana talaka! Anajirudisha kiaina cdm baada ya kupiga ramli na juona hakuna uwezekano wa kupewa ubunge wa viti maalum! Hii ndio tunaitaga kumtukana mamba ukiwa hujamaliza kuuvuka mto! Anaumia kwa uhakika!Unakera mkuu hata sisi wa CCM wenzio unatukera unampa umaarufu Mbowe bila sababu