We ndio msemaji au nyg hizoUjenzi wa interchange ya Ubungo unavyoenda kwa kazi baada ya kuangushwa kwa lile ghorofa,naona haitachukua tena 36 months badala yake by end next year tutakuwa tunapiga picha pale
HII NDIO JF ,MDAU ANACHOKOZA MADA ANA MAANA ZAIDI YA HAPO SAFI SANA.nimepita wiki kadhaa zilizopita jengo la tanesco lipo.sasa sijajua limeondoshwa lini?
hapana nakaa Temeke.Lipo nililiona au una maana zaid ya hio?? maana humu Jf.Pole wewe utakuwa mgeni hapa mjini
Mh!hiyiooo.bado kwanza mwenyekiti wa chama anabarizi upepo wa bahari.Ila hii itafanyika kabla ya 2020.tuwe wavumilivuKUHAMIA DODOMASIJUI ITAKUWA LINI ?? NAPENDA SANA TAMTHLIA YA ISINDINGO....!
Mh!hiyiooo.bado kwanza mwenyekiti wa chama anabarizi upepo wa bahari.Ila hii itafanyika kabla ya 2020.tuwe wavumilivu
ahahahahaha....Mkuu kwa kasi anayoenda nayo mkandarasi,sijui kama hata kupiga picha itawezekana,yaani within a fraction of seconds kitu kimeshabadirika
Zege halikauki kwa matamko na mihemko... ikisema miezi 36 fahamu ni hvyo au zaidi...Ujenzi wa interchange ya Ubungo unavyoenda kwa kasi baada ya kuangushwa kwa lile ghorofa,naona haitachukua tena 36 months badala yake by the end of next year tutakuwa tunapiga picha pale
Evidence = pichaUjenzi wa interchange ya Ubungo unavyoenda kwa kasi baada ya kuangushwa kwa lile ghorofa,naona haitachukua tena 36 months badala yake by the end of next year tutakuwa tunapiga picha pale
Nenda kwenye kaburi la mzee Odemba utaona picha!!!!picha...wenzenu tuko buturi huku
nimepita wiki kadhaa zilizopita jengo la tanesco lipo.sasa sijajua limeondoshwa lini?