Baada ya Faru John, Spika Aibua Faru Ndugai bungeni

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,252
Wakati anamalizia kipindi cha maswali na majibu, mheshimiwa Spika amekuwa anasisitiza kuwa katika hifadhi ya Ngorongoro kuna faru anaitwa faru Ndugai.

Na faru huyo akipotea itakuwa patashika hapo Bungeni kama lilivokuwa katika sakata la faru John.

Wakuu mnisaidie; Hivi hawa faru huwa wanapewa majina ya viongozi maarufu tuu?
Maana juzi juzi tulimsikia faru John, leo tena Faru Ndugai. Inawezekana kukawepo faru Kirerenya Kweli?:):):)
 
Hivi faida ya hao faru ni kiasi gani na inapatikana vp kwa mwaka kama tu huyo faru fausta anatumia tshs 62 millions kuhudumiwa na kawekwa kwnye cage?? Je inasaidia vp taifa?
 
Wakati anamalizia kipindi cha maswali na majibu, mheshimiwa Spika amekuwa anasisitiza kuwa katika hifadhi ya Ngorongoro kuna faru anaitwa faru Ndugai.

Na faru huyo akipotea itakuwa patashika hapo Bungeni kama lilivokuwa katika sakata la faru John.

Wakuu mnisaidie; Hivi hawa faru huwa wanapewa majina ya viongozi maarufu tuu?
Maana juzi juzi tulimsikia faru John, leo tena Faru Ndugai. Inawezekana kukawepo faru Kirerenya Kweli?:):):)
Kuchekesha huleta Afya pia
 
Kwani faru John alipewa jina la mtu gani maarufu?

Wakati anamalizia kipindi cha maswali na majibu, mheshimiwa Spika amekuwa anasisitiza kuwa katika hifadhi ya Ngorongoro kuna faru anaitwa faru Ndugai.

Na faru huyo akipotea itakuwa patashika hapo Bungeni kama lilivokuwa katika sakata la faru John.

Wakuu mnisaidie; Hivi hawa faru huwa wanapewa majina ya viongozi maarufu tuu?
Maana juzi juzi tulimsikia faru John, leo tena Faru Ndugai. Inawezekana kukawepo faru Kirerenya Kweli?:):):)
 
Back
Top Bottom