Taarifa zilizofuja kutoka kwa waislamu wachache waliotengeneza tukio la kukojolewa QURAAN,zimedai kwamba hilo tukio liliandaliwa rasmi ili kuzusha vurugu ili ziendane na zile za zanzibar za kiongozi wa uhamsho kujiteka na kusababisha uvunjifu mkubwa wa amani,taarifa zinadai kua hakukuwa na ukojolewaji wa hicho kitabu wala nini ni uvumi tu ulizushwa na huyo mtoto aliandaliwa tu kimtegomtego kutokana na umri wake mdogo na ndio maana hiyo quraan wanayodai imekojolewa haikupelekwa POLICE as EVEDENCE,NA MPAKA SASA WAZAZI WA HUYO KIJANA ALIYEKOJOLEA QURAAN HAWAJULIKANI,zaidi ya hao wazazi wa mtoto wa kiislamu,na hata iyo nyumba anayokaa huyo mtoto anaedaiwa kukojolea kitabu haijulikani,waratibu wa hii move wanadai kua lengo lilikua baada ya waislamu kuchoma makanisa nao wakristo wajibu mapigo kwa kuchoma miskiti na kisha iwe mwanzo wa vurugu na kushinikiza MUFTI ajiuzulu kwa kushindwa kulinda miskiti isichomwe.