WAIKORU
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,587
- 2,444
Fact...Azam anatuonyesha ligi ya France League 1 tunaiona PsG ya kina Neymar&Messi, azam anatuonyesha Bundesliga tunaiona Bayern Munich ya kina Sadio Mane, Dortmund na mechi kibao kila wiki, bado azam anaonyesha ligi ya ndani NBC bado azam anaonyesha mechi moja ya Epl bure kila jumamosi, lakini bado Pia tunayaona mashindano ya CAF
Huyo ndo mshindani halisi wa Dstv hapa Tz startimes ni takataka mbele ya azam, mtu mwenye akili timam hawezi kwenda kununua startimes kwa matarajio ya kupata burudani zaid ya burudani inayotolewa azam
Labda kama sio mtumiaji wa StarTimes Tanzania ndo huwezi kuelewa maumivu tunayopata wateja wake ambao ni wapenda soka....