cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,760
- 73,417
Alete vyeti halari yaishe na leo kakimbia Clouds.na akizidi kukimbia tutamfata ilala boma
Kamfuate wewe wenye muda, sie tunapiga kazi na kumshangilia kiongozi wetu.
Alete vyeti halari yaishe na leo kakimbia Clouds.na akizidi kukimbia tutamfata ilala boma
Mkuu usijifanye kama huelewi kitu gani kinaongelewa, naelewa una uelewa lkn mazingira sio sahihi ya kusema vyenginevyo, kwa hapo nitakuelewa, na hilo linakufanya wewe kukosa haki ya msingi ya ku comment.
You are too emotional to get involved kwenye discussion hii.
You need to put yourself together ! Think really hard
Broo unafaidi hapa mjin Npe siri ya uremboo bro- hahahahahahahhahahahaha U know Wabebezzz unatafuta mwenyewe mimi sitafutiwi ila ni Super Star ndio maana wanashobokea U know hahahahahahahha
le Mutuz
- hahahahahahaha umekuwa Mungu unayetumia majina ya bandia maana sasa una uwezo wa kujua mawazo yangu hahahahahahahaha wewe ni Mungu yupi wa JF? hahahahahahahhahaha
le Mutuz
We mwisho, ile akili kubwa iko wapi Mkuu,?
Fanya staha ya heshima na hekima, both of them zinashabihiana, na wewe utaheshimiwa don't act stupid kwa emotion za watu, na maisha ya watanzania, ukajihisi uko above the furore.
Utakuwa na matatizo katika ubongo wako. Wahi mapema hospitali kabla matatizo hayajaongezeka.Majina yake sisi hayatusaidii kitu ila makonda nikiongozi bora mtetezi wa wanyonge anatufaa full stop
- hahahahahaha tatizo mmeingia humu juzi tu so hamjui how this game is played pole sana sijakusoma what is your point here boss?
le Mutuz
Ww unatapatapaKwaiyo mlivyokuwa mnamwita Dr Slaa ndiye Rais na mkaanza kurudia rudia huo uongo. Je Slaa alikuwa Rais? Hoja hiyo ya NAPE mmeamua kukubaliana nayo, lakini hoja zingine kama vua gamba vaa gwanda sababu ya Ufisi hamtaki kuzisikia.
Ni kweli huyu jamaa yupo hata uki-google unamwona, na ni kweli ni Mtangazaji wa radio moja huko Tabora. Swali langu ni kwamba, kwa nini hata yeye hajatoa statement yoyote kama yanayosemwa ni kweli??? au yeye mwenyewe ndiye alitoa habari kwa Mange. Kwa anayetaka, naweza kumpa namba yake ya simu ili amvutie waya na kumwuliza.Hizi tuhuma ni nzito na kweli anatakiwa kuhakikisha anafanya uhakik .
Nasikia mwenye vyeti vyake huyo Paul Christian yupo tabora ni mtangazaji redio za huko na ni mlemavu flan mkono
waliosoma na makonda sekondari, watiririke hapa
Wanabodi,
Declaration of interest. Mimi Paskali Mayalla ni mwandishi wa habari wa kujitegemea mwenye uwezo wa kufanya investigative story kuhusu jambo looted, ila nimeamua kujikita kwenye kuandika developmental news only zenye maslahi kwa taifa, hivyo hii hoja kwenye uzi huu haina maslahi yoyote kwa taifa hivyo siifanyii uchunguzi, ila ina maslahi kwa usafi wa mtu, truthfulness na the audacity kunyooshea watu vidole kumbe. ..
Uwongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, hugeuka ukweli.
Kuna tuhuma za wanafunzi waliokuwa vibonde darasani wakafeli, kisha wakachukua majina ya vipanga wakaendelea na masomo na hatimaye kufanikiwa.
Tuhuma kama hii ilianzia kwa Mae. Dr. Hamisi Kigwangala akaikanusha. Jina la Said Nassor Bogoile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?
Kisha ikaja kwa Mhe. Mwigulu Nchemba naye akaikanusha,
Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina
sasa tuhuma kama hii imeibukia kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Mwigulu, Kigwangalla, Makonda jibuni tuhuma hizi nzito
Jee kuna ukweli wowote juu ya hili au ni wivu tuu na wazushi wanaomuonea kijicho kijana kuwa the 2i/c (two I .C) baada ya top, hivyo wanamzushia na kumzulia ili kutaka kumshusha? !.
Jee tuhuma hii iliwahi kukanushwa?. Tuhuma ikitolewa isipo kanushwa, hata kama ni kwa ku ignore tuu, inamaanisha ni silence which means yes!.
Hii kitu inaweza kuwa kweli?!.
Nauliza tuu! .
NB.Kwa msio jua uteuzi wa mtu kuwa RC hauhitaji sifa wala vigezo, hivyo hata kama mtu aliishia darasa la 7 anaweza kuwa RC mzuri teu, au mtu aliyepata Div 0 anaweza kuwa kiongozi mzuri kuliko Ph.D holder, hivyo bandiko hili has nothing to do with u RC wa Makonda, it has to usafi binafsi wa kiongozi if honestly and truthfulness ni miongoni mwa sifa za kiongozi bora. Hii inaitwa
Academic Dishonesty , kwa mtumishi wa umma ni serious allegation
Paskali.
Huyo asiye na malindaKamfuate wewe wenye muda, sie tunapiga kazi na kumshangilia kiongozi wetu.
Huyo asiye na malinda
Mkuu Brother Wille, with due respect kwa heshima na unyenyekevu nakushauri tunza heshima yako kidogo iliyobakia.- Cha msingi kama mna ushahidi mngemshitaki RC Mahakamani kuliko kuhangaika namna hii inasikitisha, yaani badala ya kuongelea njia za kupambana na madawa ya kulevya sasa ni vyeti? huzuni sana hii
le Mutuz
Mnyonge gani anamtetea au Mnyonge ni GSM!?Majina yake sisi hayatusaidii kitu ila makonda nikiongozi bora mtetezi wa wanyonge anatufaa full stop