CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,340
- 5,048
Nashukuru umemjibu,nilitaka nimjibu ila umeniokoa na ban ya maisha.Yanga haina ujinga wa namna hiyo,pia simba na tff wamekubalina kuwa hawatavaa nembo,hivyo hoza zako hazina mashiko
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ahsante sana Mkuu.