Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
- Thread starter
- #21
Una Miaka 40 na unayofanya hayaendani.
Maisha huanza ukiwa na miaka 40, kila la kheri basi yaanze maisha.
Subiri upige magotiiiii
Una Miaka 40 na unayofanya hayaendani.
Maisha huanza ukiwa na miaka 40, kila la kheri basi yaanze maisha.
Nimechungulia nimeona Following yako inasoma 0.
Same as me...nimechoka kum search nimeamua kum follow tuNimekufollow Don
Ze Don nahisi wahitaji msaada hasa wa ushauri wa kisaikolojia. Usione haya au aibu kutafuta wataalamu ushauri au watumishi wa Mungu wanaweza kukushauri na ukawa na utulivu maishani mwako.
Ukiendelea hivi utaumia zaidi, sisi wanadamu tulio wengi ni wanafiki sana. Tutakubeza na kukunanga kwa maneno ya kukuumiza zaidi.
Mwenyenzi Mungu akusaidie na kukurehemu.
Una shida kubwa sana bahati mbaya huwezi kusaidika.
Enjoy that hardship in your life men
Huwezi jua pengine mafanikio yake nimeyashikilia mimi!Ingekuwa wewe ndo unampangia mafanikio angekufa maskini
Huwezi jua pengine mafanikio yake nimeyashikilia mimi!
Legends only will understand this