Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 301
Kwa hali ilivyo inabidi Dkt. Mkopi awe makani sana katika kipindi hiki.
Kwa habari za ndani watoa roho walio tumwa walikuwa wakihaha usiku na mchana kuhakikisha ya kwamba na yeye wanamuingiza mtegoni kwa namna yoyote ile na kumfanyia kama Dkt. Ulimboka.
Dkt. Mkopi chukua tahadhari sana, kwani hizi habari nilizokuletea humu ni za ndani mno na nimezitoa jikoni. Nimechoshwa na dhuluma kwa Watanzania nimeamua kuwa mkweli na kupinga maovu ndani nchi hii.
Sioni uoga kumwaga ugali humu na bado. Mengi yanakuja.
Kwa habari za ndani watoa roho walio tumwa walikuwa wakihaha usiku na mchana kuhakikisha ya kwamba na yeye wanamuingiza mtegoni kwa namna yoyote ile na kumfanyia kama Dkt. Ulimboka.
Dkt. Mkopi chukua tahadhari sana, kwani hizi habari nilizokuletea humu ni za ndani mno na nimezitoa jikoni. Nimechoshwa na dhuluma kwa Watanzania nimeamua kuwa mkweli na kupinga maovu ndani nchi hii.
Sioni uoga kumwaga ugali humu na bado. Mengi yanakuja.
Kama mbway mbway tu.