fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Inategemea huo ugumu unautafsirije,kizazi cha Sasa JPM ni bora Zaid huyo Nyerere muache abaki na mwamvuli wa baba wa Taifa tu na kama kuna yaliyobora na kukuvutia Zaid tuambieKipindi alichotawala Nyerere sidhani Kama kilikuwa chepesi kiasi hicho unachofikiri